Easiest solution ni kununua android radio
Ama radio yoyote inayo support mirroring.
Hii ya mirroring, uki unganisha na smart phone ina display screen ya simu kwenye screen ya radio.
Ipo fresh boss, rpm haikua inafanya kazi toka mwanzo na sijahangaika nayo baada ya kubadili engine. Kwa speed ipo poa. Nilienda nayo tukuyu. 120-140km/h ni kawaida.
Gali imenisumbua kinoma ila ndio ivyo tena nina mahaba nazo. Kuna moja nimeiona i wish to have it. Mambo ya engine nishajua...
Bila shaka engine code ni 4JX1. Ni engine kichefu chefu sana. Waweza kuweka engine ya isuzu 4JG2. Hapo utaweka engine pekee hakuna kingine utabadilisha. Nimebadili mwaka jana nikapumzika. Bighorn ni mimba!
Open main menu
Edit
Read in another language
UArmoured personnel carrier
An M113, one of the most common tracked APCs, during the Vietnam War
The GTK Boxer of the German Armyis an example of a modern APC and is equipped with a remote weapon station
An armoured personnel carrier (APC) is a...
Mkuu me nahitaji kutumia decoder moja kwa tv mbili tofauti. Niweze kuangalia channels tofauti kwa wakati mmoja. Kuna solutions rahisi kweli?
Nimejaribu kucheck mitandaoni naona Nigeria wana dual tuner receiver. Una uzoefu nazo? Na je zinapatikana bongo?
Thanks
specs zinaendana kwa ist zote model hiyo, isipokua yenye 4x4 inakua na izo difference zilizoainishwa, yaweza kua ground clearance, turning radius etc
zipo ist zenye 4x4 model zote mbili.
kwa ya zamani inakua na engine ya 1nzfe 65
aende manispaa watamuambia, akishindwa, tafuta wapimaji waje wachukue coordinates, wao wataenda manispaa kupata copy ya ramani ya hapo ulipo, waki plot coordinates utajua upo safe kiasi gani, advantage nyingine ni kua utajua mpango wa matumizi ya hapo kiwanja chako kilipo, unaweza ukawa mbali na...
bila kusahau, wameanza mkakati kujenga daraja toka maeneo ya ocean road hospital hadi coco beach. daraja refu kbs kupita baharini ktk bara la Africa. daraja lenye urefu chini ka 500 linalolisha uchumi wa nchi hata hatuna habari. it's really a shame.
aisee, naona hakuna uhalisia kwenye story yako.
umeajiliwa june 2016 una watoto 3. uyo mkeo ulishakua nae kitambo. suala la kusema amekuacha eti ulimdanganya kuhusu ajira si sahihi.
maisha yakiwa magumu mwanaume hutakiwi kulia. we ukilia mkeo afanyaje sasa?
ulishakua na maisha hadi kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.