Search results

  1. Ntale Wi Isumbi

    Je, mnazionaje research output za the following organisations? (FSDT, Twaweza, AMDT, ESRF, Repoa, TradeMark East Africa, IMF, ADB, UNECA, World Bank)

    Kuna tofauti kati ya research na opinion poll. Research ina misingi yake muhimu baadhi yake ni: tatizo linafanyiwa utafiti , sampuli, aina ya takwimu, mbinu za ukusanyaji takwimu, uchakataji wa takwimu hizo na uwasilishaji wa matokeo, n.k. Opinions polls mara nyingi hazizingatii misingi hiyo...
  2. Ntale Wi Isumbi

    Who is the next target?

    Akipata muda, apite pia anglau hata kuwasalimia tu TANAPA, Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi, na PPRA
  3. Ntale Wi Isumbi

    Who is the next target?

    Halmashauri za Jiji, Miji, Manispaa na Wilaya
  4. Ntale Wi Isumbi

    Hii ndio Familia ya Agustino Mahiga

    Mahiga... NDIO NANI?
  5. Ntale Wi Isumbi

    Graduate miaka 26 anaweza apply vikosi vya ulinzi?

    Anaweza kutegemea na vigezo watakavyoweka mwaka huo. Pamoja na umri, lazima pia akidhi masharti kibao. Mfano kama ni msichana asiwe ameolewa au aliwahi kupata mtoto
  6. Ntale Wi Isumbi

    ni makosa makubwa kufananisha ushindi wa ukawa na ccm

    Rufaa zinaamuliwa sasa ni sawa na kutengua hukumu ya kifo wkt mhusika ameshanyongwa hadi kufa.
  7. Ntale Wi Isumbi

    Juliana Shonza, Mtella Mwampamba wangekuwa mbali sana kisiasa!

    Hata sasa wako 'mbali sana' baada ya kurudi kilomita nyingi sana nyuma. Kwani kuwa 'mbali' lazima upige hatua kwenda mbele?
  8. Ntale Wi Isumbi

    CCM Arumeru Mashariki tujipange vema, bundi yupo mtini

    Kwa hesabu za haraka haraka, ni kwamba kwenye vijiji CCM imeshuka kutoka 100% hadi 62.2%, wakati CDM imepanda kutoka 0% hadi 37.8%. Kwenye vitongoji, CCM imeshuka kutoka 100% hadi 65.4%, wakati CDM imepanda kutoka 0% hadi 34.6%. Sasa hoja hapa si 'bundi kutua kwenye mti' kama mleta mada...
  9. Ntale Wi Isumbi

    Wazo la leo: CCM bado inapendwa, na inazidi...

    Mwenye macho haimbiwi tazama
  10. Ntale Wi Isumbi

    Swali kwa wanazuoni dhahifu wa tanzania

    Point of correction mr/madam speaker: Hawa sio wanazuoni bali ni wanafunzi ambao kwa bahati mbaya tu njaa imepanda kichwani. Watarudi kwenye akili zao wakishapata boom au kutumiwa fedha ya matumizi na wazazi/walezi wao mwisho wa mwezi
  11. Ntale Wi Isumbi

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Kwanza, hili ni tamko la wanafunzi wanajiita mwanazuoni ambao kimsingi uwezo wao wa kufikiri ni mdogo kule vijana wengi waliopata division 5 wakabaki kijijini. Pili, si sahihi kwa wanafunzi na hasa wa shahada ya kwanza kujiita mwanazuoni. Ni mwanazuoni wa nini hasa? Amebobea kwenye nini...
  12. Ntale Wi Isumbi

    Wasomi vyuo vikuu Dodoma watoa tamko kuunga mkono tamko la Jumuiya ya Wanazuoni

    Mwanafunzi wa mwaka wa 2 alshahada ya kwanza unajiita mwanazuoni? Rudi kwenye tafsiri sahihi ya neno mwanazuoni kabla hatujajadili kama ulichoandika kina mashiko au la. Nitarudi baadaye ikidi!!
  13. Ntale Wi Isumbi

    Disemba 9 kila mwaka: Tunasherehekea uhuru wa nchi ipi?

    Ni makosa kusema uhuru wa Tanzania kwa sababu Tanzania ni muungano wa nchi 2 zilizopita uhuru kwa nyakati tofauti. Bila kuingia kwa undani katika mjadala huu, nafikiri ni sahihi kusema uhuru wa Tanganyika au Tanzania Bara. Ni Tanganyika maana ndio jina la asili au Tanzania Bara kama...
  14. Ntale Wi Isumbi

    Waliopokea Pesa za Escrow ni Wezi kama Wezi Wengine wa Kuku na Mbuzi Warudishe Haraka Sana!!

    CCM ya sasa haina utaratibu wa kuwajibisha wezi na wahujumu uchumi. Labda kama unaongelea ccm ya enzi za mwalimu
  15. Ntale Wi Isumbi

    Dodoma kwawaka Moto: Sendeka ageuka Mbogo

    Yawezekana Ole Sendeka yuko kambi ya Picha hasa ukizingatia tifu lake na mamvi QUOTE=Donatila;11216703] WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya...
  16. Ntale Wi Isumbi

    Amon Mpanju: Wamenipiga huku wakijua mimi sioni macho

    Kule kwa akina Mwita Maranya wanasema "fita ni fita muraa". Siungi mkono na ninalaani vurugu zilizotokea katika mdahalo huo. Katika mazingira hayo ya vurugu, chochote kingeweza kutokea yamkini hata kugharimu maisha ya watu au hata kusababisha majeruhi, ulemavu n.k. Lakini, hoja ya msingi hapa...
  17. Ntale Wi Isumbi

    UKAWA wanyaka nyaraka juu ya Mpango wa kifisadi wa kupitisha Katiba Inayopendekezwa

    "Chama chama kimetukombea chamaa...." Jamani nakumbuka tu enzi zile za miaka ya 1970 na 1980....
Back
Top Bottom