kiukweli kaka yangu kwa sasa sahau kupata wa peke yako maana kwa jamii ya siku hizi tumezowea kuanza mapenzi mapema sana ndo maana hakuna mapenzi ya dhati na kama unavyojua kwamba kila mtu ana testi yake ya mapenzi kwa mfano wengine wanatulia tu wakati wa kitendo na wengine munashirikiana...
kiukweli kaka yangu kwa sasa sahau kupata wa peke yako maana kwa jamii ya siku hizi tumezowea kuanza mapenzi mapema sana ndo maana hakuna mapenzi ya dhati na kama unavyojua kwamba kila mtu ana testi yake ya mapenzi kwa mfano wengine wanatulia tu wakati wa kitendo na wengine munashirikiana...
kaka hapo cha kufanya mukusanye vitabu vya dini mufundishane ili mutafute imani iliyosahihi ili mmoja akubali matokeo maana ninavyofahamu mimi mungu hawezi kuweka dini mbili dini ni moja tu na mungu ni mmoja ila kiukweli kabisa watu hawasomi vitabu wamezowea kusikia juu juu na kama mtu atasoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.