Najua itakuwa siku ya umakini, naweza iita siku ya budget halisi, Zitto ni mzuri, ataisoma na ataieleza kwa umakini wa kutisha, atawaeleza watanzania nini chadema inaweza fanya katika nchi kwa kipindi hiki, namuomba mungu aliye hai, ampe Zitto, nguzu na uwezo mkubwa wa kusoma na kueleza kwa...
Najua itakuwa siku ya umakini, naweza iita siku ya budget halisi, Zitto ni mzuri, ataisoma na ataieleza kwa umakini wa kutisha, atawaeleza watanzania nini chadema inaweza fanya katika nchi kwa kipindi hiki, namuomba mungu aliye hai, ampe Zitto, nguzu na uwezo mkubwa wa kusoma na kueleza kwa...
This has to be done in different way,
Find the account and query to know the owner,
Let the owner in an open language explain how he has that much money,
If he fails, suck the owner, return the money to Higher learning Institution Student Loans Board
If he says he is doing business then...
Mzee Peter Kisumo alitaka kuzungumza jambo jema ila hakujua amueleze nani,
Kwanza ni vema angeenza kueleza maana ya Mwanasiasa na Mwanaharakati,
Pili angeeleza dhumuni la vyama vingi? au dhumuni la kuwepo kwa chama cha siasa mbadala au kuweo kwa vyama pinzani,
Kwa kifupi kwa kipengele cha...
Nimekusamehe kwa kuwa kimya..naomba usichelewe tena mda mwingine kutuletea. leo nimesoma kwa haraka ila natafuta mda nisome kwa utaratibu ili nijue, hakika nchi hii ni tajiri siku tukiata raisi mzuri basi!! umaskini utakimbia kama vumbi, najua uwezo tunao, sababu tunazo, rasilimali tunayo, ila...
Baba wa taifa alionya kuwa ipo siku ccm chama hiki hiki kilicho cha wakulima kitakuwa cha matajiri wachache tusipokuwa makini kuwadhibiti. Alisema naona anguko la ccm likisababishwa na matajiri wachache wakihojiwa na maskini walio wengi.
Ninyi mmepata wapi hizi pesa, maskini walio wengu...
Chadema sasa ni chama kinachoonyesha kufanya vema..tunawaomba wajitahidi kuepukana na viongozi wa kipuuzi wa aina yeyote ile watakaokuwa ndani yao..mungu wape nguvu..ubunifu na umakini katika kupanga, kutekeleza sera na kusimamia wanachi..
Wawe makini katika kuziangalia njia za wizi za...
Nimejaribu kuangalia kwa makini mtiririko wa utendaji wa Raisi wetu.. nashawishika kusema Raisi amesahau kabisa nini watanzania walitarajia kutoka kwake. Kwanza:
1. Huduma nzuri za afya
2.Huduma za elimu
3.Huduma za usafiri
4.Huduma za Biashara
5.Huduma za Bidhaa(za vyakula)
6.Kilimo kuwa cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.