Nia na madhumu ya kuandika ni kujenga na sio kubomoa bali..kudumisha kilimo kwa ustawi wa wakulima na nchi pia.
Nina ndugu jamaa na marafiki wanaotegemea zao la kahawa kuendeshea maisha yao huko kwetu Mkabogo,Kigoma,katika kuongea nimepata kitu naomba niwashirikishe bilashaka kulio chao...
https://www.rt.com/business/466133-huawei-launches-own-os/
Nadhani inabidi ifike mahali binadamu tuheshimiane.
Katika hali ya kupambana kibiashara na Us ..China kaanza kumjibu Us kimya kimya.
Thaman ya Yuan imeshushwa.
Rare mineral hakuna kuuza Us.
Hakuna kununua soya beans toka Us.
Taka...
Nimemsikiliza kwa makini mheshimiwa Rais katika hotuba yake jana baada kupokea taarifa ya tume ya uchunguzi wa kontena zenye mchanga wenye madini.Binafsi nampongeza sana kwanza kwa kuunda tume hiyo pia kwa maamuzi aliyoyachukua.
Natoa wito kwa vyama vya upinzani kuitisha maandamano nchi nzima...
Nimesikia kwamba mmeitwa katika mazungumzo na wapinzani wenu huko Arusha kimsingi ni jambo zuri lakini sidhani kama mtafanikiwa kuzika tofauti zenu maana kuna mambo matatu sijawahi sikia mkiyatafutia suluhisho niulize tu hivi ile vita ya michobero mpaka kwa wingi wenu tukawapa hifadhi pale...
Wote tunajua ni wezi,mafisadi,wahujumu uchumi,mafisi walovaa ngozi ya kondoo sasa eti tunampango wa kuwakabidhi bucha Ole wetu!!
Kimsingi naona ilivongumu kura kuondoa udhalimu maana kelele hizi za balaba kufunguliwa zimezidi
Yumkini tunamuhitaji mfalume Daudi(1.Samweli16:1-13) macho yetu...
Kwa wale mashabiki wa kutazama zana za kivita msikae mbali na Tv zenu mtakapotune RT leo saa nne-ile mi pantsir,S-500,Tupolev 95,Tomol,MiG 35,PAK,MiL,BUKK bilashaka itapitapita.
=============
Victory Day in Russia is celebrated on May 9 and the country's second most popular public holiday after...
Ni mtazamo tu:Mpira wanaume bwana akina dada si wana soka lao,sasa katika paneli ya uchambuzi mechi ya ivory cost na guinea mwanamke wa nini mbona katika uchambuzi wa ligi ya Uk hatuwaoni?
Ng'ombe wengi sana wa Wanyarwanda,Burundi huko Kigandye,Kilelema mpaka Kikwete bridge mashamba ya mpunga pembezoni mwa mto sasa mto masika hii maji kidogo kweli, operation kimbunga lini tena?
Gadhimai Hindu festival: Global condemnation of slaughter of more than 5,000 buffaloes
The ritual in Nepal has been condemned as 'unparalleled religious madness'
The slaughter of more than 5,000 buffaloes at the Gadhimai Hindu festival in Nepal has drawn global condemnation from...
Russian President Vladimir Putin
Russia plans to develop relations with African countries and will give all assistance they need, Russian President Vladimir Putin said at a ceremony of receiving credentials from ambassadors of several foreign countries, including diplomats of several African...
Basi la mwafrika limepata ajari maeneo ya chai Njombe. Basi lilikuwa linatoka Makete kuelekea Iringa, Hakuna vifo vilivyoripotiwa ila kuna majeruhi wengi, Walio wengi wa majeruhi wapo Kibena Hospitali kwa matibabu. Naratibu namna ya kuleta picha.
Waungwana Naombeni kujua ghrama za vin'gamuzi vya DSTV HD decoder hapa Tz.Je,kuna gharama za ziada katika malipo?Kuna Model aina ngapi sokoni? na ipi ni ya bei ya chini?
Is Africa fit to play the Biotechnology game?
Africa ready to play the Biotechnology game
Majwala Meaud Major
Wed 25 Jun
A casual move around villages in Southern Tanzania, can enable one to see the misery of farmers complaining about seeds that can only be grown once and harvested seeds...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.