kwa lowassa kushiriki masuala ya dini hakuanza leo wala jana hiyo ni utashi wake binafsi na mola wake, mimi nadhani kwenye hili hana kosa jamaa ki ukweli ni mchapa kazi sana katika kundi lao wana ccm mimi namuona angalau yeye anafaa kuliko wafuata upepo wengine
ki ukweli medeye hana mashiko arumeru, ujanja wake upo knye kuchangia misiba tu na kuketi karibu na mafisadi, ila kimkakati waarusha wameanza kubadilika, ilboru, mula, siwandeti, sakina, snawari, sekei kote jamaaa hakubaliki kabisa na vijana wapo tayari muda wowote kumtoa jamaa 2015, ishu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.