Kwa siku hizi za leo ambazo kila kitu kiko wazi kabisa nisingetegemea wewe kuwa na mawazo mgando kiasi hicho kwani ulikuwa na haraka gani usifuatilie mwenendo wa matokeo kwanza kisha ndio ulete huo upumbavu wako humu ndani?
Jihadhari na hiyo tabia yako.
Aliyekuwa waziri wa ardhi na makazi wa Tanzania mh. Anna Tibaijuka anaitaka serikali kubadirisha utaratibu wa mbunge kutokuwa waziri ili wabunge waweze kuwahudumia wapiga kura wao badala ya kutumia muda mwingi kufanya kazi za serikali.
Wadau kama sio uchizi ni nn hiki au ndio kapagawa baada ya...
Kwa sasa tumeisha fahamu sababu ya kuitwa TUMBIRI lakini hata hilo neno MWIZI halitupi shida kwani tafsiri yake tunaijua.
Ni bora tumejua MWIZI ni nani baada ya tumbili kujitoa muhanga ili tu kuwanusuru wananchi na janga la MWIZI huyo.
Siku zote mwendawazimu huwa hajijui kama yeye ni mwendawazimu ila huwa anawaona wenzake ndio wendawazimu mpaka kufikia kucheka peke yake akiwaonea huruma watu wenye akili timamu kumbe yeye akingali amebaki na wazimu wake.Pole sana.
Na hili nalo unataka tukushauri dada yangu mpendwa?mbona unatupa kazi sana wakati kuna mambo ya msingi kujadili ili tupate nchi yenye maridhiano na sio kulazimishana.
Kwa hili huoni kuwa kuna siku utataka tukushauri ni nguo ya ndani aina gani au rangi gani uvae ili utoke kwenda kwa huyo...
Wewe huna lolote kutokana na hayo maelezo yako moja kwa moja yanaonyesha chuki binafsi "KOMAA WEYE" Unaandika vitu kwa kusikia? Je nayako wakiyasikia waandike humu ndani? Kuweni wastaarabu basi jamani huyo ni MBUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI hamumzungumzii mjumbe wa nyumba kumi.
Kwahiyo humu ndani tumeanza kuandika tetesi ambazo zinaweza kumuharibia mtu sifa yake? Je ikija kujulikana kuwa hizo tetesi zako sio kweli utamsafishaje huyo Shyrose Bhanji?
Nadhani kama sitokosea sasa tunakwenda kinyume kabisa na maadili na tunakuwa tunaandika hisia zetu hilo sio zuri,mimi...
Hata kama umeshindwa ku attach basi unge eleza madhara yake na ungeweza sema soda gani au zote haya masuala ya ku post kitu ambacho hakina maelezo ueche kabisa sawa,uwe na maelezo ya kina kisha wafahamishe watu wengine,sasa hapo tuelewe vp?
Wewe mwenyewe unahisi umeeleweka?
Mchango wako wa leo umechangia kwa njia ya aina yake ktk suala la kuitetea nchi kwa ujumla lakini pia hukutupa au kwa lugha nyingine kutuacha vijana nguvu kazi ambao ni Taifa la leo hasa sisi wenye kipato cha chini
ambapo kila kukicha tunadharauliwa na kupewa majina ya kila aina lakini pamoja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.