nimekupata mkuu kwenye kuunganisha mitaji naona lazima muweke makubaliano kabla ili mambo yaende sawa maana kuna marafiki wangu wawili walikuwa wanafanya biashara mwisho wa siku akakimbia na hela akiulizwa anasema kapata hasara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.