It seems what is covertly refered to as "people" in this article is a certain typical cohort of politicians in the country. The writer hardly shows any chunk of his/her interest with ordinary citizens.
Napenda kufahamu, je huyu virus wa corona hana ubavu wa kuupenya mwili wa binadamu kupitia kwenye masikio na macho?
Na kama haiwezekani kitaaamu ni kwa msingi upi?
Isije kufunika pua na mdomo ni biashara tu wakati macho na masikio ni vitega uchumi wa biashara hii.
Comments waungwana:
Inategemewa na vilevile kutumainiwa sana na kila mwananchi kuiona mahakama kama chombo kitukufu, kinachoaminika na chenye; weledi kiutendaji, chenye maadili, na mfano wa kuigwa kiuwajibikaji panapo hitaji hilo.
Pamoja na kuwa ni muhimili unaojitegemea, yanayoendelea kwa sasa kwa baadhi ya vituo...
Waheshimiwa wawakilishi, viongozi wa taifa, hoja hii inafikishwa kwenu kwa kile kinachoonekana kuwa hakina mfuatiliaji jijini Dar. Hiki ni ile kero inayowasibu madreva wa magali binafsi inayosababishwa na genge la kamatakamata ya magari barabara za mitaa ya jiji.
Hili genge huibuka na kupotea...
Kama tunarudi kinyumenyume kwa hili, basi washitakiwe kwanza kwa kubushi vyeti. Watakaoshinda kesi walipwe.
Watakaoshindwa kesi wawajibishwe.
Huo ndo utawala wa haki , sheria na uwajibikaji. Rais asilee utamaduni dhaifu wa yaliyopita si ndwele. Utamaduni huu hauna tija kwa taifa la vizazi vijavyo.
Kwa watakaopenda kukumbushwa: JPM alitwambia mara kadhaa "TUSIFIKIRI NA WALA KUJIDAGANYA KUWA ATI TUNAPENDWA SANA" na aliongezea "THERE IS NO FREE LUNCH "under the sky.
Marekani ni taifa la ki-NARCISSIST. Lina kicheko cha MAMBA kwa kila mahusiano na mataifa madogo hasa ya Afrika. Ni kiongozi...
Ni kitu cha kusikitisha sana. Huyu mama alitakiwa aachie ngazi mapema kwa hiari yake akiwa makamu wa JPM, akatabanaisha anachokiamini. Kwa staili hii ya kugeuza mwelekeo analea tabia ya unafiki itakayolimaliza taifa kiutendaji na kimatokeo iwe kwa siasa za ndani au nje ya nchi. Mama akae akijua...
Jina lake alilotumia akiwa shule ya msingi Ibindo wilaya ya Kwimba lilikuwa "Mganga Shigemelo". Hili la Richard Ndasa hatujui lilitoka wapi. Wengine hatuna uhakika kama kweli alisoma sekondari, maana ilishasikika kuwa mara baada ya elimu ya msingi, alikuja Dar kuuza magazeti.
Niliwahi kuweka thread hii hapa jf katika kupima athari za kumvua au kutomvua uanachama zitto:"Kwa mtazamo wangu ni kwamba kumfukuza Zitto ndani ya chama ni kuwafanya wanachama na wapenzi wa chama cha CHADEMA wasioafikiana nae katita sakata hili kubaki "intact" bila ya bughudha ni mwelekeo upi...
Kichafu husafishwa kwanza ndo kitumike upya ikibidi au ikiwezekana. Kuendelea kutumia chombo kichafu bila mchakato wa kukisafisha kwanza ni kuchafua shughuli nzima husika inayoendelea. Kwa mantiki hii Zitto anatakiwa awe nje ya chama kwanza na baada ya kujisafisha ikiwezekana arudi. Kinyume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.