Anachokifanya Lusinde ni upumbavu wa hali ya juu.. na hata viongozi wake ni wapumbavu.. Huwezi kutoa sera za matusi na wananchi wakuchekee,, kwa haraka utagundua wale woote waliokuwa wakimshangilia Lusinde ni watoto na akili zao pia hazina mtazamo wala fikra ya kudadavua au kung'amua jema au baya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.