Search results

  1. A

    Lusinde Ajiandikishe Form One Kufuta Ujinga

    Anachokifanya Lusinde ni upumbavu wa hali ya juu.. na hata viongozi wake ni wapumbavu.. Huwezi kutoa sera za matusi na wananchi wakuchekee,, kwa haraka utagundua wale woote waliokuwa wakimshangilia Lusinde ni watoto na akili zao pia hazina mtazamo wala fikra ya kudadavua au kung'amua jema au baya..
Back
Top Bottom