Jamii nzima inasikia matukio yake na kusoma kila siku , Ifike mahali aone aibu na kuamua kutulia afanye kazi zake nyingine na kama ikibidi kutokana na Umri wake angerudi Shule akasome kuliko kufanya haya anayoyafanya...
Kwa Heshima na Taadhima wakuu wote hapa jamvini ninawaomba Kukaribia hapa,Nimechoka kuingia kama mgeni kwa muda mrefu sasa (Miaka kadhaa), Ni matumaini yangu tutakuwa pamoja hapa...Asanteni na Shukrani wote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.