Search results

  1. Y

    Tanzania tunakwama wapi? Inakuaje tunazidiwa na Nchi zote za Afrika Mashariki kwenye Miundombinu bora ya Barabara?

    Data za barabara ambazo zimetolewa kwa Tanzania ni data za TANROAD tu, TARURA Network yote haipo kwenye hizo data, kwa ujumla Tanzania tuna Network kubwa ya Lami kuliko nchi zote hizo zilizotajwa. Kwa hiyo barabara zote za mjini hazijaorodheshwa, wakati nchi nyingine wameorodhesha za mjini pia.
  2. Y

    Chukua tahadhari: Roketi ya Kichina yapoteza muelekeo na mawasiliano angani. Muda wowote kuanguka Duniani

    Ni kwamba rocket hiyo ilikamilisha mission yake yakupereka Satellite huko angani,na satellite hiyo inafanya kazi kama kawaida, kilichotokea ni yale mabaki ya rocket hutakiwa kurudi duniani kwa kuongozwa na Control system ya ardhini .
  3. Y

    Baba Askofu Bandekile Mwamakula asema inawezekana Job Ndugai alisoma Kitabu cha Animal Farm

    Askofu mwenyewe mjinga tu huyo, hana lolote hata ,waumini wake wajitafakari kuhudhuria mahubili yake, anakaribia kuwa KICHAA...
  4. Y

    Kwako Tundu Lissu kuhusu suala la Lugha

    Lisu mwenyewe hana kiingereza kizuri maneno mengi tu hana lolote.
  5. Y

    Uchaguzi 2020 CCM sio kila hoja ni ya kupinga, namna nyingine ya kupinga hoja ni kuiboresha zaidi

    Na ninyi mnaopinga kila kitu tukuwekeni kundi gani ?
  6. Y

    Awamu ya Tano yafanya makubwa kwa kipindi kifupi

    Mhmm, JK si ndiye aliyesema ya kwamba' hajui kwa nini Tanzania ni masikini'.
  7. Y

    CRDB, fanyieni kazi tatizo la business transactions, nmeshindwa kupata huduma

    Nyinyi Wachaga sijui mkoje , yaani mnataka kila kitu muwe nyinyi tu?
  8. Y

    Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

    Kwani uzuri wa Simu hasa ni nini ndugu yangu ?
  9. Y

    Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

    iPhone unayotumia pia imetengenezwa China.
  10. Y

    Hii tabia ya kudharau simu za Tecno itakwisha lini?

    Haahaa, Je unajua hata hizo simu za iphone ulizoorodhesha, pia zina tengenezwa China karibu 60%.
  11. Y

    Rais Magufuli, muapishe upya Waziri wako. Kuna siku mahakama itabatilisha maamuzi yake

    Je unajua ya kwamba hata Rais mwenyewe aliapishwa kwenye uwanja wa mpira ?
  12. Y

    Urusi yaomba msaada Marekani wa kupambana na Corona

    Kwa hiyo hali ya Marekani ni nzuri,.....Compare idadi ya walio kufa katika nchi hizo mbili.
  13. Y

    Urusi yaomba msaada Marekani wa kupambana na Corona

    ‘Equipment on its way’: US to send 200 ventilators to Russia after Moscow dispatches a planeload of aid to New York
  14. Y

    Tetesi: Kuna tetesi kwamba Kiwanda cha cement CIMERWA huko Rwanda hatarini kufungwa kwa kukosa makaa ya mawe kutoka nchini Tanzania

    Nina wasiwasi na wewe, Akili na busara yako ni ndogo sana na pia IQ ndogo, maandiko yako yote yanafanana.
  15. Y

    WHO: Corona Virus inaweza isiondoke

    Hivi jamani tuwe wakweli, Nchi ya Kenya walikuwa na Lock down au Curfew?. Kwa sababu Kenya waliweka muda wa kutotoka kuanzia saa moja jioni mpaka Saa kumi na mbili asubuhi(07:00pm-06:00am) , lakini mchana wote watu wanazagaa mitaani wakiwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
  16. Y

    Sababu Tanzania Kutohudhuria Mikutano ya EAC, SADC

    Hivi jamani tuwe wakweli, Nchi ya Kenya walikuwa na Lock down au Curfew?. Kwa sababu Kenya waliweka muda wa kutotoka kuanzia saa moja jioni mpaka Saa kumi na mbili asubuhi(07:00pm-06:00am) , lakini mchana wote watu wanazagaa mitaani wakiwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
  17. Y

    Zambia, Kenya zaanza kuruhusu malori kutoka Tanzania

    Hivi jamani tuwe wakweli, Nchi ya Kenya walikuwa na Lock down au Curfew?. Kwa sababu Kenya waliweka muda wa kutotoka kuanzia saa moja jioni mpaka Saa kumi na mbili asubuhi(07:00pm-06:00am) , lakini mchana wote watu wanazagaa mitaani wakiwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
  18. Y

    Prof. Kabudi: Zambia haijafunga mpaka wake na Tanzania eneo la Nakonde

    Hivi jamani tuwe wakweli, Nchi ya Kenya walikuwa na Lock down au Curfew?. Kwa sababu Kenya waliweka muda wa kutotoka kuanzia saa moja jioni mpaka Saa kumi na mbili asubuhi(07:00pm-06:00am) , lakini mchana wote watu wanazagaa mitaani wakiwa wanaendelea na shughuli zao kama kawaida.
Back
Top Bottom