Asante sana kaka kwa kunisaidia kuwaelewesha ambao wanakua hawajanielewa,
Baada ya kuhitimisha hili naahidi nitarudi kuleta feedback na tutamshukuru mungu kwa pamoja!
Asante sana kaka,hakika nimeuelewa ujumbe wako uliojaa busara na elimu ya kutosha,naamini mpango wa mungu ni mwema kwa kila binadamu na ni lazima utimie kwa kila mmoja ndio maana naamini wakati wangu nao ukifika upango wake utatimia na atanikutanisha na aliyemuumba kwa ajili yangu,
Ubarikiwe...
Asante sana Herald Hunter,ngoja ni itafute na kuisoma,siasa nazipenda sana na nimfatiliaji mzuri wa siasa zetu ila sina hobi ya kuwa mwanasiasa.
Ubarikiwe mkuu.
Asante SUN,kwa kawaida inabidi kuweka vigezo vyote vile nahitaji kwani najua haiwezekani kupata aliyekamilika kwa yale yote mtu anahitaji kwa hiyo cha msingi ni upendo na userious wa mtu mengine yanaongeleka tu.
Kwanza nakushukuru kwa ushauri na maneno yako yakunitia moya,na wala hujaninikwaza kwa lolote hasa hasa umeniongezea ujasiri na kujiamin zaidi,ubarikiwe sana kaka/dada yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.