Search results

  1. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana kaka kwa kunisaidia kuwaelewesha ambao wanakua hawajanielewa, Baada ya kuhitimisha hili naahidi nitarudi kuleta feedback na tutamshukuru mungu kwa pamoja!
  2. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Ubarikiwe kaka.
  3. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana kaka,hakika nimeuelewa ujumbe wako uliojaa busara na elimu ya kutosha,naamini mpango wa mungu ni mwema kwa kila binadamu na ni lazima utimie kwa kila mmoja ndio maana naamini wakati wangu nao ukifika upango wake utatimia na atanikutanisha na aliyemuumba kwa ajili yangu, Ubarikiwe...
  4. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Bahati mbaya kaka mimi sipo tayari kubadili dini na ndio maana nimekuwa muwazi kabisa na kuhusiana na ishu ya dini.
  5. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Sikuwahi kutoa mimba kwani sikutaka kuwa na mimba kabla ya kuolewa.
  6. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante kaka kwa kunikumbusha niko makini na nitaendelea kuwa makin na kulizingatia hilo.
  7. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana Herald Hunter,ngoja ni itafute na kuisoma,siasa nazipenda sana na nimfatiliaji mzuri wa siasa zetu ila sina hobi ya kuwa mwanasiasa. Ubarikiwe mkuu.
  8. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    AMEN,Hakika mungu wetu ni mwema na hutupa kwa wakati wake,ubarikiwe sana.
  9. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante SUN,kwa kawaida inabidi kuweka vigezo vyote vile nahitaji kwani najua haiwezekani kupata aliyekamilika kwa yale yote mtu anahitaji kwa hiyo cha msingi ni upendo na userious wa mtu mengine yanaongeleka tu.
  10. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Hongera kwa kunijibia vema kwani umeongeza idadi ya post kwenye profile yako,ubarikiwe sana.
  11. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Nadhani umeshindwa tu kuelewa,nakushauri uende ukapae elimu ya ukimwi hutweza kuwa na mawazo km haya,
  12. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Amen,nalitambua hilo dada,haya mambo bila kumtegemea mungu hua hayaendi,nimelikabidhi mikononi mwa mungu pia.
  13. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante dada kwa kunitia moyo.
  14. P

    Here it is again...Leo tena!!

    Happy birthday mkuu.
  15. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana.
  16. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Ni PM nitakujibu huko.
  17. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana nimekuelewa.
  18. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Hapana,kwenye ukristo hatuna ndoa ya mke zaidi ya mmoja.
  19. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Asante sana,nawe ubarikiwe sana.
  20. P

    Natafuta Mchumba/Mume.

    Kwanza nakushukuru kwa ushauri na maneno yako yakunitia moya,na wala hujaninikwaza kwa lolote hasa hasa umeniongezea ujasiri na kujiamin zaidi,ubarikiwe sana kaka/dada yangu.
Back
Top Bottom