Habari za muda comrades,
Naomba msaada mwenye uzoefu na interview za UTUMISHI kwa kada ya Counterfeits Surveillance Officer, ya FAIR COMPETITION COMMISSION, msaada wa nini wanauliza au waliuliza kwenye written interview za miaka ya nyuma angalau nipate mwanga wa nini cha kujiandaa
Thanks in...
Habari za muda huu comrades,
Naomba kufahamu mtu yeyote ambaye amewahi fanya interview ya nafasi ya Tutorial Assistant iliyoendeshwa na utumishi kwa upande wa written interview, ni mambo gani huuliza.
Kwa mfano vipi huuliza questions za kada husika au research questions.
Msaada please anyone
Habari wanabodi,
Natumai mpo wazima, niende moja kwa moja kwenye Mada, kuna ushauri nimeulizwa na best yangu ambaye tupo single kwamba ana binti wanamahusiano na yupo chuoni kimasomo lkn yeye ni mtumishi. Hivi karibuni tangu mwaka umeanza hajawahi pokea simu wala SMS kutoka Kwa huyo mrembo...
HABARI WANABODI
Natumai mpo wazima humu ndani job seekers na employers kama wapo. Naomba nitumie jukwaa hili kuweza kuleta malalamiko yangu kwa wahusika najua watanisikia na watanzania wengine pia walijue hili.
Habari yenyewe ni kwamba hivi karibuni hawa jamaa wameniita kuhudhuria kwenye...
HABARI wanabodi,
Ndugu XXXXXXX, MSD inakukaribisha kwenye usahili kwa nafasi uliyoomba ya Administrative Officer itakayofanyika siku ya Jumatano tarehe 14/6/17 saa 3:00 asubuhi shule ya Sekondari Chang'ombe ndani ya DUCE, Dar es Salaam. Tafadhali fika na kitambulisho chako. Gharama za usafiri...
Habari wanabodi,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, naomba kufahamu kama kuna utaratibu wa uhamisho kutoka shule binafsi kwenda shule za serikali, na kama upo taratibu hizo zafanyika wapi,
Thanks in advance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.