Ni vitu vichache umezungumza lakin vya muhimu sana pale mtu anapofanya maamuzi ya kuomba funds kwa ajili ya kuboresha biashara yake na pale anapotakiwa kufikilia ni wapi atapata hizo funds. Watanzania wengi hatupendi ukweli, hatupendi kuwajibika, na ndo maaana tunaishia kulalamika, jitu linaenda...
CCM waigizaji wote, so wameenda sehemu sahihi kwa fani yao ya maigizo.Director wa movie, mwigulu nchemba, camera man Nape. Movie ya ugaidi kuwa released soon kwa udhamin wa CCM.
Hapo hujaachwa, ila upo kwenye kipind cha mpito cha kuachika, usipojirekebisha. We ulipoona yupo kimya ulichukua hatua gani? uliamua na wewe kukaa kimya? ulijaribu kumuuliza chanzo cha ukimya wake? au na wewe uliamua kumkomoa kwa kukaa kimya? In love its all about giving and receiving...
tunahitaji mabalozi wasio wanachama wa chama chochote, na hawatakiwi kujihusisha na maswala ya siasa, mfumo uliwezekana kipind cha nyerere kwasababu tulikuwa tuko katika mfumo wa chama kimoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.