Nimemfuatilia kwa kina Mama yetu Samia na kuridhika kuwa ana uwezo mkubwa ndiyo maana akamudu kuendelea kujenga miradi yote aliyoacha JPM na kuongeza mingine mipya.
Ameweza kuwatumbua hata vigogo kama vile Mkurugenzi wa TISS na Katibu Mkuu Kiongozi.
Kwa hiyo Mama yuko vizuri.
Wakuu,habari.
Naombeni hukumu ya Sabaya ili nijiridhishe baada ya kupata utata wa maamuzi ya mahakama.
Nimepata utata kwa sababu ushahidi niliokuwa nafuatilia sikutegemea angekutwa na hatia.
Sisi hapa kazini (taasisi ya serikali) mwaka juzi tuliajiri watu zaidi ya 130.Watu wa mkoa wa Kilimanjaro walikuwa zaidi ya 40.
Wachaga hata walimu na watumishi wa afya huwa ni wengi zaidi kwa sababu ndiyo waliosoma kwa wingi.
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.
Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Hilo la chuki baina ya wananchi nakataa.Sisi wananchi tuko vizuri sana miongoni mwetu.JK ndiyo aliacha chuki kubwa miongoni mwa wakristo na waislamu,wakulima na wafugaji kiasi cha kuchinjana hovyo.
JPM alinyang'anya maslahi binafsi ya mafisadi,baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na CCM na...
Kuna jambo halieleweki hapa.Kwa nini Bawacha waseme wanakusudia kupeleka mahakamani sasa baada ya Naibu Spika kusema Bunge halina taarifa.Kwa nini hawakufanya hivyo mapema?
Hongera sana Mhe.Saashisha. Nakumbuka ulianza kutekeleza shughuli za kibunge hata kabla ya kuwa mbunge rasmi kwa sababu Mbowe alikuwa ametoroka jimbo la Hai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.