Assalaam,
Naomba nianze kwa kuwapongeza askari wa usalama barabarani kwa utendaji mzuri sehemu mbalimbali Tanzania.
Nilichokiona Katesh siku ya trh 12/4/2020 sio cha kiungwana na kinaondoa uadilifu wa jeshi. Binafsi niliandikiwa faini kwa kosa la kuendesha gari kwa spidi ya 57/h.
Kadhalika...
Kwa kweli! Shikamoo JK na pole kwa homa na safari. Nachelea kusema kwamba wananchi wako tutachuguzaje afya coz hatuna pesa na hata hosputal zetu hazina dawa na vifaa na hata wataalam. Pesa ya Escro irud baba.
Katika nadhaharia mbalimbali za ujibuji maswali, unatakiwa ulisikilize swali kwa makini, jipe muda na jiridhishe kama umelielewa. Mara nyingi watu/wanasiasa/viongozi na waombaji wa kazi wanakurupuka kujibu maswali. Sikuisikiliza hiyo interview, lkn kama hilo ndo jibu alilolitoa huyo dada, mmmhhh...
Kila uchao si redio, si TVs na hata magazeti zinatolewa habari mbalimbali za kuuwawa na kukamatwa meno ya ndovu. Mwisho wa meno yote yanayokamatwa na kuonyeshwa na makamanda wa polisi hapa nchini huwa yanapelekwa wapi?
Tanzania yangu nakupenda ila....
Akichangia bungeni leo, Joseph Selasini anasikitika jinsi fedha inavyotumika vibaya katika halmashauri mbalimbali hapa nchini. Hv rim ya karatasi A4 inanunuliwa kwa 40,000? ni halali? mbona mnapiga sana.
dr Mgimwa kazi unayo, nenda kahakiki hizo halmashauri.
Zimetolewa kauli mbalimbali na hao viongozi wa kisiasa na washirika wakubwa wa CCM. Kauli ya Maalim kuhusu wazenji kuwa huru kwa kupata serikali na mamlaka kamili si nyepesi kihivyo. Lakini pia kauli ya mkuu wa CUF kuhusu wana Ntwara nayo ina uzito wake juu ya mustakabali mzima wa nchi yetu na...
"Liwalo na liwe"! Mh. (PM) M. Pinda muda huu yuko Mtwara eneo la Msijute akifanya uzinduzi wa kiwanda kikubwa cha Saruji mkoani mtwara. Dalili njema kwa wana Mtwara na watanzania kwa ujumla. Vp lakini mikataba na hao wanaokwenda kwa jina la wawekezaji imekaa sawa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.