Mkuu kibajajitz,
Naomba unijuze jinsi ambavyo umeweza unga MOBDRO ya kwenye simu kwenye laptop? au jinsi unavyoweza kuunga kwenye Samsung tv series 4, I mean nitumie kiunganisho gani? NITASHUKURU sana mkuu
Mkuu Mnafu nawewe umeona? KODI inakula MB balaa...Ingawa nafikiri KODI inafursa nyingi na muonekano safi zaidi kama HD n.k
waje tu wataalamu watufundishe jinsi ya kupata Local Channells
Ahsante mkuu kwa majibu yako, Ninawezaje nami kupata concentrated B17 sababu nina tumors sehemu mbalimbali za mwili wangu, tafadhali naomba msaada wako ndugu kabla mambo hayajazidi kuwa mabaya kwangu, jibu vyovyote vile hapa au kwenye PM.
Natanguliza shukrani mkuu Mungu akujalie
Mkuu Deception, HESHIMA KWAKO KWA UZI HUU WENYE MANUFAA.
Mkuu mimi ninaomba msaada wa
(1)Dosage za mihogo na aina gani inayofaa kutumika wakati wa hayo matibabu (mibichi au iliyochemshwa) hasa kwakuzingatia kwamba mkuu RGforever hapa juu alivyobainisha kwamba ina high concentration za...
Mkuu
hili tatizo la vidole kufa ganzi kama ulisoma vizuri kwenye swali langu nimesema tatizo lina wiki moja sasa nahii kitu imeanza ghafla.
umeniambia cause ni blood circulation si nzuri, "sawa" kinachonishangaza kama blood circulation sio nzuri kwanini ni vidole viwili tu vya mkono wa kulia...
Mtaalamu naomba msaada wako sijui naumwa nini yaani kama wiki moja imepita nahisi vidole vyangu viwili cha kati na cha shahada karibu na kwenye kucha hivi vidole vinakufa ganzi.
sasa nachoomba mtaalamu unisaidie jina huu ugonjwa na tiba yake tafadhali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.