Katika hali isiyo ya kawaida mkuu wa wilaya ya Meatu mkoa wa Simuyu Bi. ROSEMARY KIRIGINI amemtishia kumweka ndani Ndg Mandela Kamugisha ambaye ni Mwanaharakati na Mwanachama wa CHADEMA. Haya yalitokea jana katika mkutano wa hadhara wa CCM ulikuwa umeitishwa katika viwanja vya stand ya mabasi...
Hakuna kitu kama hicho kwa moto waliowasha Vijana na M4c sisiem hawana lao simiyu 2015 wasukuma wamehamasika jaribu kuhudhuria mikutano ya chadema Meatu na Maswa utakubaliana na mimi jamaa wanajaza watu kuliko hata akija JK na sisiem yake na wanasomba watu na malori!
Meatu ina majimbo mawili jimbo la Meatu linaongozwa na Mhe. OPUKUKWA (Chadema) na jimbo la kisesa linaongozwa na mhe. Mpina (CCM) Mkoa wa simiyu una majimbo 7 manne yako upinzani matatu yako ccm,2015 Mhe Mpina na Ccm jimbo la kisesa wanapigwa chini!
Hukumu ya kupinga ubunge wa mhe,OPULUKWA (CHADEMA) jimbo la Meatu inatarajiwa kutolewa kesho katika mahakama kuu kanda ya Tabora itakayotolewa mjini Maswa,kesi hiyo ilifunguliwa na kada wa Ccm Masanja Salu aliyekuwa katibu wa mbunge aliyeng'olewa Salum Hamis Salum aka Jambo au Salum mbuzi...
Kaka usidanganywe na mtu,kitu cha kwanza kabla ya kwenda brela tafuta mwanasheria akutengenezee memorandum na article of association wanasheria wanajua,baada ya hapo nenda straight brela watakupa maelekezo,TRA unaenda baada ya kupata certificate of incop. Gharama zote hazizidi 600,000 kaka kuwa...
Hana usafi wowote, uzwaji wa nyumba za serikali kwa bei ya kutupa,na hata yeye alijiuzia nyumba adaestate kinondoni thamani ya soko wakati huo m400 yeye alijiuzia kwa m5 huo ulikuwa ni ufisadi akiwa waziri wa ujenzi kipindi cha mkapa.
Huu ni uongo wa mwaka, inshot niko Meatu mjini Mwanhuzi Ccm kwa sasa ofisi ya wilaya haifunguliwi,hawana hata ubavu wa kuitisha mkutano wa hadhara hawapati watu,HUU NI UZUSHI acha usenge
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.