Kauli za Makofuli siyo za kupaka mafuta Kwa mgongo wa chupa , Makofuli ni open man , kama unapenda kulishwa pipi , kuwa Kwanza ndipo uje kwenye nyuzi, Unavyo sema taifa la heshima ueleweki Kwa waelewa , suti na taratibu za Uingereza , siyo hadhi ya Ujerumani , Heshima ya mtu ni kazi . Huyo...
Dr Kileruu alishambuliwa na Mwamwindi Kwa kosa la Dr Kileruu kumtusi Mwamwindi vilevile Mwamwindi alinyogwa , kuusu Karume ilipangwa ndiyo maana hata wewe ujui historia hiyo unaaminishwa kwamba aliuliwa na wapinga mapinduzi
Si hayo tu atueleze Ben saa nane yupo wapi , kwaani ameoneka ni mafia sana , anatumika kudhuru watu , kama alivyofanya kwa warioba , kuna pazia kubwa kati yake na watawala wakubwa
Kwa ubanguzi ulivyo kwa sasa kuna haja ya Mikoa minne kupata uhuru wake , ambayo ni KILIMANJARO ,MARA , MANYARA NA ARUSHA KWANI WANA PATO LA KUTOSHA NA AMBAZO HAZIISHI , KAMA VILE MILIMA MARU NA KILIMANJARO , MBUNGA NZURI NGORONGORO, MANYARA , SERENGETI , MADINI MENGI ,KM TANZANITE N.K
kupambana na dawa za kulevya ni sawa sawa na kupambana na kuua inzi , inaitaji uelewa na busara , kwani mimi ya mwenzi Mungu uwezi kuiangamiza yote, kwani ni dawa vilevile .
Neno uchocheze ni nenolinalo tukumbusha Enzi za makaburu South Africa , walilotumia kuwagandamiza weusi, sasa linatumiwa Tz kugandamiza uhuru wa mawazo , epuka kufuata mgandamizo wa utawala
DW ni waelewa, wanauwezo wa kureason mambo . Siyo washabiki tu bila kupembua mambo , kuna mambo raisi anafanya vizuri sana , lakini vile vile kuna mambo anakose sana , hapa tanzania wanawefunga midomo ya kukosoa , unategemea hata ulaya ana uwezo wa kuwafunga mdomo , wewe mtoa mada ufuatilii...
Yeye ni binadamu tu kama sisi , kila mtu atakufa , Ni bora nikafa kifo chenye kumbukumbu kama soweto inavyo kumbukwa , kuliko nikawa na mtawala anaye tumia kila jambo amri , Tanzania ni nchi huru , na kama siyo huru basi tuutafute uhuru , mimi nitakuwa mstari wa mbele September 1 ,ili niwe wa...
Wakati nikiwa mdogo mama alikuwa anaimba wimbo ho!ho! TANU yajenga nchi kila wakati , ikaja ccm ikiwa na raisi wa kwanza , wa pili ,wa tatu, wa nne, watano hiyo nchi tutakula lini ? HERI MAFISADI WAKICHOTA TUNAKUWA NA NAFUU YA MAISHI , HUYU BWANA YEYE TU ANACHUKUA MILIONI 9,500,000/= KWA MWEZI...
Hivi huyu makonda anadhani nchi hii ni mali ya watu wachache ,Tanzania ni mali ya kila Mtanzania ,kubahatika kuwa Rc Asifikiri ni mjanja kuliko wengine, Kila Mkoa kuna rasilimali zake , Ardhi mnang'a watu ,kazi serikali inatoa kwa undugu , Acha kutuhuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.