Nishakuwaga na mtoto tangu nikiwa form 4,so biashara hiyo nishamalizaga.Natafuta demu tasa tule bata mpaka tuzikane.
Sifa nyingine ni awe murembo kwa kiasi chake au zaidi,sio mnene wala kimbao mbao.Elimu ya kutosha kujieleza vizuri kwa lugha zote english na swahili.Umri usizidi miaka 30.mimi...
Kwanza kwa shule yangu ya kayumba,najua kodi hutozwa vs mapato,sasa hii kodi ya line ya simu ina formula gani,vs mapato gani...watu wanakurupuka tu utafikiri wanawaza na ma------.yaani matonya kwa mapato yake ya kodi ya line analipa sawa na SS baresa.Hii tanzania ni laana,akili ndogo inaongoza...
Mama mmoja wa kizungu,alitaka kumuua mumewe.Sasa paliponiacha hoi,eti akajipaka sumu ukeni.Ulaya kuna vituko,ebu shusha kituko chako ulichowai sikia kutoka huko majuu...
Kwa Wana Jamii wote,
Pale kwenye kile chuo hawatoi kozi za urubani never never.Hawana hata nusu ndege.Kile chuo kimesajiliwa na TCAA,na wana ruhusa ya kufundisha Flight Operation Officer au kwa jina lingine Dispatchers.Ni Approved Training Organization for hiyo kozi tu.Ila huyo mjomba anawahadaa...
Hello JF,
Looking for serious buyer,no dalali.I am selling my car,very considerable price,silver in colour,BRJ plate number.
Feel free to call,0712 203565.(u will never beat my price anywhere else.)
Habari wana JF,hasa upande huu wa mabiashara.Ninachoomba wana JF wenzangu ni Business Plan,ya Capital ya Mil 30.
Nini mtu anaweza kufanya nazo,ili aweze kupata mafanikio ya kibiashara.Ninaomba ushauri,royality will be paid after the business picked up.
Karibuni.
pia unaweza uka e...
NVITATION FOR SPONSORSHIP TO TRAIN PILOTS. The Tanzania Civil Aviation Authority (the Authority) was established on 1 November 2003 as a corporate body, pursuant to the Civil Aviation Act, Cap. 80 (R.E. 2006).
The Act mandates the Authority to provide safety, security and economic...
Marubani wa kitanzania tena waliojisomesha kwa ela zao,kwa ada ya zaidi ya millioni 60 kila mmoja,
Wanamlilia Waziri kupitisha fagio la chuma TCAA,kwa vile viongozi wa taasisi hiyo kwa sasa wameshikiliwa na
Small airline operators.Watanzania wananyanyaswa kwenye ichi yao,tena wengine kwa...
Natafuta landcruiser mkonga,lililo kwenye afya nzuri,
Ndani na nje.lenye leaf au coil sawa tu,ili mradi tuelewane.
Vitara pia 3 doors kama iko kwenye mstari natafuta pia.Piga
0712203565.Nipo dar.
Natafuta landcruiser mkonga iliyoa kwenye hali nzuri,test drive kwenda Cairo,
Malipo ndio yafanyike.liwe na leaf au coil maaelewano tu.Nipo Dar,piga 0712203565 tutete!
Na Vitara 3 doors,yenye bei nzuri pia nachukua.
Mawaziri waliotajwa kwenye CAG kumtoa waziri mkuu Kafara,au kujiuzuru by Monday.
Zitto akusanya signs 71 tu za wabunge,J3 kutoa hoja ya kutokua na Imani na Waziri Mkuuu.
Saafi saana zitto taifa lipo nyuma yako.
People are talking too much while they don't know who blame.Gvnt is the number one.
All atc crashes,The main reason was the runways.Mwanza not properly constracted during rain it get flooded at the middle of it.
Kigoma much worse,rough runway+rain,siucide mission.Gvnt takes landing fees but it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.