wazanzibari na warabu ni kitu kimoja, ndio maana unaona hata mila na desturi zina fanana, Sasa wewe kinacho kukera ni nini? Wivu wa kijinga? Mbona kuna wabara wengi tu wanajichubua na kuvaa mawigi? Na wao wanautaka uarabu?
kwanza kabisa mimi ni Msukuma, na pili hakina masaid alie lazimishwa kwenda ZNZ, wameenda kwa uamuzi wao. Na kama umefika ZNZ ndio utaelewa kuwa hawa MAsai ni kero. Sasa kama imekuuma sansa basi wapeke huko kwenu Moshi ukawape kazi
Hivi wewe unajua kuna wabara wangapi wanaishi Zanzibar? Mbona hawana shida yeyote na serikali?Takriban waajiriwa 60% wa mahoteli yote ZNZ wabara, umesikia wamebaguliwa na Wazanzibari?
Wewe Yericho umekosa kazi, hawa wamasai wamekua wasumbufu sana Zanzibar, wamejazana huko bila kazi, wanauza sura beach wakitegemea kupata majimama ya kizungu wapelekwe ulaya. Ukiwakuta beach wanasumbua watalii na vikorokoro vyao, kazi za ulinzi zimewashinda sasa wamekua beach boys. Wanabeba Sime...
ndugu zako walipewa wakaua kila kitu, uwanja umekua kama wa kufugia mbuzi. Acheni wenye ujuzi na nia ya kufanya biashara wafanye kazi yao ili muone matunda ya uwekezaji.
Huyu mzee ni wa motoni tu, jinsi alivyo tesa watu na akili zake za kimaskinini sidhani hata utukufu utampunguzia zambi. Magufuli alitaka kuja na system hiyo hiyo lakini mwenyezi mungu aliwapenda zaidi watanzania na akampumzisha milele.
Makonda ndio alie sumbua wafanya biashara kwa kuwabambikiza kesi halafu makonda huyo huyo ndio atawafata wafanyambiashara wachangie kampeni za CCM. Hizi ni dharau kubwa sana
wewe huna akili kuja humu kumsifia Makonda, bila shaka una wazimu wa aina flani au amekutuma uje humu kumsifia. Makonda ni Mshenzi number moja, na Rais amefanya makosa makubwa sana kumrudisha huyu Jamaa, na siju za mbele atajuta kumpa cheo CCM. Anyway weekness nyingi za Rais zimeonekana hivi...
Wasanii pia ni watu wa muhimu katika jamii,na wanahaki kama taaluma nyingine zote. Wewe ulitaka mkulima apelekwe new Delhi wakati huko hakuna mashamba.
Nyanza road ilifaidika sana kipindi cha magufuli, hawa wahindi sijui walimpa nini magufuli wakawa kila tenda ni yao wao. Huyu waziri anajisumbua tu Nyanza road watapata kazi nyingi tu kupitia jina tofauti.
maneno mengi tu, hana lolote, alikuwepo makonda kabla yake akijifanya Dar ndio mali yake, akitembea mtaani na mitako yake mikubwa utasema mungu mtu. Haya yuko wapi siku hizi, hata Tako limekua dogo. Ukimzabua hata kofi hawezi kukufanya kitu. Leo akauja huyu kipepe wa Sani anajifanya bingwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.