Hapo Mbwa ( Chadema) kajinyenyekeza mpaka kaingia ndani kabisa ya Nyoka ( CCM). Chadema wamo ndani ya tumbo la Nyoka lakini bado hawajakufa, ndiyo maana miguu ya Mbwa imesimama imara.
Kwa kifupi ngoma droo. CCM wakiharibu nje, Chadema wataharibu ndani. Yaani watamtafuna Nyoka mpaka atakwisha na...
Anachofanya Ukraine ni kujihami ndani ya mipaka yake tu, siku Mrusi akitoa majeshi yake ndani ya Ukraine ndiyo itakuwa mwisho wa vita. Hata silaha anazopewa na Magharibi masharti yake asizitumie kupiga ndani ya Urusi.
Waafrika weusi tunamatatizo yanayofana. Hatupendani, hatuwezi kuendeleza mali tunazoachiwa na kizazi kilichotangulia, tukifanya uzalishaji ni kwaajili ya manufaa ya familia tu na siyo jamii mengi tu.
Ushauri wangu siyo kwa Waafrika kusini tu, bali kwa Afrika yote. Tuyatatue matatizo yetu hapo...
Unawajua vizuri Makaburu? Au unawasikia tu? Pia rudia tena kunisoma hapo juu labda utanielewa. "Nimesema kufanikisha hilo ni mpaka vita itokee kwanza na Mweusi ashinde"
Hilo ni teke la mwisho la ANC inayokufa. Hilo jambo haliwezi kufanikiwa mpaka itokee vita ya Kaburu na Mweusi, ambayo Mweusi hawezi kushinda! Huko mashambani kuna silaha za kufa mtu! Pia Kaburu anaujasiri na roho ngumu sana. Hii imewafanya watu weusi wamuogope sana Kaburu, wakisikia tu lugha ya...
Mtu mzima anaposema/ambiwa sina HELA anaelewa HELA ya ziada ya kupewa/toa. Haina maana hana HELA kabisa kabisaa! Binafsi naweza kumwambia sina HELA hata mara tatu mfululizo. Ukweli utakuweka huru daima.
Shemeji yako anahisi/kagundua kaka yako hana uwezo wa kumsababishia ujauzito. Hivyo anakurubuni wewe akulengeshe umsababishie ujauzito. Mtoto akipatikana hata wakifanya DNA itaonyesha mtoto ni wa kaka yako. Ingawaje itakuwa si kweli. Changanya na zako!
Hao labda ni wanawake wasiyokuwa na kazi. Mtu yoyote mfanya kazi/aliyejiaajiri hupenda mahusiano yenye utulivu.
Baada ya misukosuko ya kazi/biashara anajua kuna mtu anakwenda kupata faraja/furaha naye.
Kuna uzuri wa ndani na wa nje, wewe unaongelea uzuri wa nje, ambao mara nyingi wenye uzuri huu huwa hawajielewi.
Hao uliyokutana nao uliwakimbia kwa sababu uliangalia uzuri wa nje tu, ungechunguza na uzuri wa ndani, nadhani usingekimbia. Uzuri wa mwanamke unaanzia na Tabia.
Hizo tabaka ulizozitaja, wao wanaandaliwa maisha na wazazi wao. Sisi (weusi) tunajitafutia maisha na kianzio sifuri.
Sasa hapo kati kati wakati maisha hayajakaa sawa tunakuwa na mahusiano ya hapa na pale, ambayo huleta hii kitu ya mama mmoja baba mbali mbali.
Tungekuwa na sisi tunaadaliwa maisha...
Ukiona uaminiwi ujue una tabia ya UONGO.
Sifa kubwa ya muongo ni kutojiamini yeye mwenyewe, sasa kwa nini unataka mtu mwingine akuamini wakati wewe mwenyewe hujiamini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.