CCM inaipeleka nchi mahali isikokujua, mi nafikiri umefika wakati bunge liache kujadili vyama na liangalie mustakabali wa taifa. Mwigulu Hana sifa ya kuwa bungeni na hata Kama ukimuuliza mtoto mdogo utaona kuwa hata nae anakuwa na wasiwasi juu ya uwezo wake
Ndugu mtoa mada, Mimi nitakuwa tofauti na wewe. Ebu fikiria ni wa tz wangapi wenye uwezo wa kusafiri kwa ndege kabla ya fast jet? Hata Kama hivyo vinywaji watacharge 10000 kila kimoja na hata Kama mizigo BEI itakuwa mara 2 ya BEI wanayoitoza kwa sasa bado haiwezi kufikia BEI ya precision na bado...
Ndugu wanajamii, mimi nafikiri kuna umuhimu wa wengi kuwajibika/kuwajibishwa kutokana na Maafa haya. Pamoja na kwanba watu wa karibu kushighulikiwa ni pamoja na mhandisi na msimamizi wa ujenzi pengine na mmiliki wa jengo ila na serikali nayo Ina sehemu yake hasa kwa kushindwa kuhimili changamoto...
Tusipoteze focus kwa kumjadili mmama huyu, hana jipya na yeye mwenyewe hana maadili hata kidogo. Lazima ajipendekeze ili aangaliwe tena mwaka 2015, hana lolote
Nawashangaa sana mnaoamini ujinga wa unabii, hawa watu si manabii bali wanasoma mchezo unavyokwenda na kutoa unabii, hata huyo aliyekufaa hakufa ndani ya siku 60. Joshua ataendelea kuwadanganya watu mnaodanganyika. Sisemi kuwa Lowasa hawezi kuwa rais ila vikwazo vipo vingi sana kwa yeye kupafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.