Kwa nini tuanze kuangalia nani mhariri wa gazeti gani kwa jina???? Huo ni ukosefu wa upeo, na kuwa na mawazo mgando yasiyokuwa na mwisho mzuri. Je unafahamu ni kwa nini majina kama yenu hayaonekani? Bila shaka ni kwa sababu pengine ham-qualify kwenye hizo post au mpo vizuri kwa upande mwingine...
Wanahitaji kuondoka, wanahitaji kuondolewa, ni lazima wapelekwe mahakamani....... Kwanini serikali inafuga wezi????????? Eti na mkuu wa bunge anasimama na kuaza kufanyia kazi tetesi.... Fwata kanuni, hoja ije mezani ndio aifanyie maamuzi.....
Mi nadhani kiongozi kama Lusinde sio mfano wa kuigwa, kama ningelikuwa na uwezo ningempa Lusinde kazi ya kuimba taarabu, kwani inaonekana kwamba anaweza kukaa kimwambao. Tulichotegemea kutoka kwa Lusinde ni kutoa hoja, sio matusi kama yale. Kwa kweli huo ni ukosefu wa busara na adabu. Kushindana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.