Kwa wale mnaouliza kuhusu mboma...huyo ndio Board Chairman wa UBA Tanzania...ila kuna kamanda mmoja pale UBA alikua jeshini ndio anakingia kifua sana anaitwa Mpanda ni mstahafu wa jeshi
Wapendwa jee kuna mtu anayeweza kunipatia taarifa zifuuatazo kuhusiana na ATM, Cards na Services za ATM au Cards zinazotolewa na mabenki hapa nchini. Nipo katika kufanya research yangu ya shule hivyo ningependa kama yoyote yule mwenyewe information yoyote ile inahusiana na kichwa cha habari hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.