Mimi nakumbuka wakati wa JK.Kuna jamaa walikuwa wanauza openly kabisa.Yani anakuja asubuhi anapaki BMW lake maeneo fulani sitayataja hapa.Mateja wanakuja pale wanananua.Polisi wakifika pale.Wanaongea naye ana watoa.Biashara inaendelea.Bongo nyoso sana.
Hamna mfia dini kama Jaffo.Nakumbuka kwenye ishu ya kuchinja.Alikuja juu sana kupinga wakristo kuchinja utadhani hii inchi ni ya kidini.Walitaka kuzichapa na aluyekuwa mbunge kutoka mkoa wa Kigoma>>>Machali.
Mdini sana.Hafai hata kuwa kiongozi yule.
Sent using Jamii Forums mobile app
We have become the proxy colony of Rwanda without our knowledge.Hiko kitu kidogo tu.Tunajenga SGR kwenda Kigari so that we could give more power and influence to Rwanda over DRC which we could get by ourself.
Our economic intelligence sijui imeenda wapi?Peleka reli Kigoma,Mwanza na...
Kimsingi sijakubaliana na hoja yako.Kwa kutolea mfano nchi kama Uganda wamamtumia crane kama symbol yao.Haimaanishi ni dhaifu bali ni kwamba wanapatikana sana nchini mwao.Ukifika Uganda ni lazima ukutane na Crane.Ndio maana timu yao ya taifa inaitwa Uganda cranes.Kwenye bendera yao pia yupo etc...
Yule achana naye anafanya Dubailazation.Soon utasikia wabongo wanazamia kule.
Rwanda soon tu inakuwa Free Economic Zone and Trade hub kubwa Africa.
-Anasubiria tumfikishie Standard gauge Railway[SGR]
-Anajenga Airport mpya kubwa the size of Bole International airport ya Ethiopia.Hili kucompete...
Katika TV channeli zenye quality mbovu ya picha ni Channel ten,TBC,Clouds Tv,TvE ni very low in standards and professionalism.Mpaka leo bado zimeshindwa kujenga studio za kisasa angalau ata kwa level ya ITV na Azam media.
Ukienda Kenya Tv ndogo tu zina facilities zote za kisasa.Picha...
Only solution kwa Zanzibar ni kuakalia kimabavu tu.Au kupandikiza population ya wabara huko.Situation yake ni complicated.I don’t trust them kama partner wa Muungano.
Sijui KFC,Burger King,Macdonald etc hizo kwa nchi nzetu ni sehemu za middle class people kwenda kupata msosi,lakini ni cheap eating places kwa mataifa yenye uchumi mkubwa.Unfortunately middle class imeendelea kusinyaa katika awamu hii kuliko nyakati zozote.Kikwete aliijenga middle class,huyu wa...
Jembe ni Jembe ni Sebastian Ndege aliyekuwa mtangazaji wa Clouds Fm miaka ya nyuma na mwanzilishi wa kipindi cha NJIA PANDA cha Cloudsfm.Kama umfahamu vizuri.Tafuta nyimbo ya Leah ya Prince DullySykes alifanya outro.Kitaaluma ni daktari.
Kuhusu Harmonize kuhusishwa kusajiliwa na huyu mwamba ni...
Wote hao ni watumishi wa Tiss hamna viongozi wa dini humo.Pengo mara sijui nani mpaka Sheikh mkuu wa Bakwata ni watumishi wa idara hao waliojibanza kwenye kivuli cha dini.So serikali haina dini lakini inazicontrol dini.
Ndio dunia ya tatu mkuu.Usishangae.Ukienda Wizara ya Mambo ya Ndani utakuta foleni na majina ya.ebandikwa ukutani utadhani tuko enzi za ujima.Akili za kizee ni shida.
Marekani kwa mfano kila kitu kinafanywa online na kutumia mfumo wa Posta.Yani unaweza ata usikanyage kwenye ofisi za uhamiaji...
Yani wakati ndugu yake anahojiwa na Mwanahalisionline Tv nilibaki na maswali chungumzima kuhusu kifo cha kutatanisha cha huyu bwana.Jamaa anadai siku ya tukio,marehemu alimtuma dereva wake akairudie simu ambayo alisema ameisahau nyumbani.Haijulikani kama kweli aliisahau simu au ni maelekezo ya...
Kama ni makampuni ya simu yameleak hizi information.Kweli watanzania hatupo salama.Yani wazee wa kitengo wameanza kutap conversation za Meko Enemies.Dah.Hii hatari aisee.
Nimesikia hapo kwenye maongezi Mzee Kinana hatumii mitandao ya ndani.Anajua michezo wanayofanya wazee wa Kaunda suti.
Hila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.