Nimemsikiliza wakili Alberto Msando, mteja wake Zitto aliweka pingamizi la kutojadiliwa na CC mpaka shauri lake la msingi lisikilizwe na baraza kuu. Pili aliitaka CC wampe mwenendo mzima wa shauri lake ili aweze kukata rufaa baraza kuu. Si kweli kwamba uanachama wa Zitto sasa utaamuliwa na...
Kamanda wangu Mnyika ingekuwa vizuri ungewaekea na uthibitisho wa hizo A tisa ulizopata kumaliza ubishi. Ki ukweli wewe una Elimu ya chuo kikuu ila huna cheti maana uwezo wako unadhihirisha, ila waliowengi including Nape wana cheti cha chuo kikuu na si elimu ya chuo kikuu
Ni wabunge wazembe (CCM walio wengi approx 90%), wapiga usingizi bungeni (kama Wasira), wanaosukuma masaa bungeni na kuonyeshana mavazi (Viti maalum CCM) na wale wasio na mchango ktk chochote kinachojadiliwa (Si kwa sababu hawapendi kuchangia, bali hawajui kinachojadiliwa), ndio wataunga mkono...
Huko ni kutapa tapa tu, mwisho watatuambia kuwa kuona au kuonyesha bunge inahitaji malipo. Hii ni sawa na kuwazuia wananchi kusafiri kwa magari na kuwataka watembee kwa miguu eti kwasababu wanataka kupunguza ajali. HUU NI UPUUZI Usio na mfano
Kabla ya kufukuzwa CDm, sikuwahi kumjua Juliana shoza,
Shoza, Tambua kuwa tatizo la maji lipo ubungo na nchi nzima tangu miaka 50 ya utawala wa chama unachokiita chako, hakuna mbunge aliyewahi kuonyesha juhudi za kulitatua zaidi ya JJ Mnyika ila anakwamishwa na siasa uchwara za hao waliokuwa...
Kauli ya mnyika bado inamashiko maana mwenendo wa hili bunge linaloongozwa na weak spika kutoka weak political party kinachoongozwa na weak leader, wabunge wake wameendelea kutetewa kwa kutoa hoja ambazo ni weak na ambozo zinathibitisha kauli ya mnyika. Sindani kama nitakuwa nimemtukana mtu...
Tatizo la maji ubungo si la jana wala juzi, limekukuwepo tangu enzi za lamwai, keenja na wengine wengi waliopita. Si wakati wa kumlaumu mnyika, hawezi fanya maajabu kwa miaka miwili ambayo selikali ya ccm imeshindwa kufanya kwa miaka 35. Tatizo la maji si ubungo pekee ni la kitaifa. Nimeishi...
Kama kutakuwa na sheria ya mgombea alishika nafasi yapili kumrithi marehem, then tutegemee mauaji mengi sana ya wabunge. Mtu atahakikisha kuwa anamwondoa duniani mshindi huku akijua kuwa yeye ndie atakuwa mrithi. haki ya nani kabisa wale wabunge waliokatwa mapanga hawatakuwa salama hata kidogo...
Nilipita kijiji kimoja mkoani Iringa kwa kweli sikuamini kuona serikali ya kijiji inaongozwa na cdm. Makamanda hamieni na Iringa vijijini hasa Kilolo tuwakomboe watu wale kutoka magamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.