Mie nlikua nawapenda sana chadema ila kwa hili la Zitto kwakweli siwaungi mkono huyu kijana wanamuonea tu ,na kwa stail wanayotumia tumewastukia kwakweli 2015 watakua na wakt mgumu sanaa
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Hii nchi jaman imeshakua ya wavuta bangi,ila chadema ndo kichaka cha wahuni sugu,lema ni mwizi wa magari leo mbunge so sion ajabu kumsikia mvuta bangi afande sele akisimamishwa kwan mwnyekit mchezesha disco,katibu mzinzi!
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Jamani hivi kweli tunaipeleka wapi hii nchi yetu?nadhani kuna viongozi hawana uchungu kabisa na rasilimali za nchi hii,kiufupi hakuna haja ya kuleta wataalam Madaktar from India kwani hapa Tanzania hayo yanawezekana.Lusinde ana kichaaa nadhani yeye na bi Kiroboto.Tuipende nchi yetu na tujiepushe...
HKigwangalla acha uongo na wewe alokutuma pia acheni uongo na wala usitafute umaarufu kwa kupitia maandamano yasokua na tija kwa wana nzega kiufupi nakupa habari za uhakika kwani mie nipo familia na mazingira ya wana nzengo, hakuna anaetambua maandamano yako.
Labda uje na hao magamba wenzako...
Kigwangallah ndugu yangu acha unafiki kwani hautokusaidia kitu wewe usidhani kisa nzega ni kijijini basi utapata umaarufu kwa mipango yako yako isioendelevu.Sasa ebu nikuulize unaandama ili nini na iweje kwani mgodi wenyewe wa Resolute unafungwa august je waandamana ili usifungwe o wat?mimi...
Mheshimiwa Waziri wetu wa TAMISEMI kwa heshima Tunakuomba uimulike halmashauri ya wilaya ya Nzega kwani ni miongoni mwa Halmashauri zinazoendeshwa bila utaratibu.Naamini mfupa ulomshinda Mkuchika JK ameeamini wewe utauweza ndo mana akakukabidhi wizara hii nyeti kwetu sisi watumishi wa Local...
Mh.mbunge wetu tunakuomba uje jimboni kusaidia kutatua kero hii nyingi zinazotukabili sisi walimu.Kwanza mwaka jana tulipewa barua za kupanda madaraja kutoka ofisi ya TSD wilaya lakini mkurugenzi MR.Kitundu na Mr.Nganya wametunyang'anya madaraja hayo bila sababu za msingi Mkurugenzi huyo ambae...
Kiukweli kabisa ccm hawana chao 2015 na wenyewe wameanza kuliona hilo nawaomba tu vijana wenzngu wahakikishe inapotokea suala la kujiandikisha wakati wa kurekebisha daftari la wapiga kura wajitokeze kwa wing ili wote tuwe na shahada za kupigia kura ili 2015 tukamalizep huu utawala wa kisultan...
Age are'nt nothing but number..la msingi hapo kaka nakushauri angalia tabia na mapenzi ya dhati wanawake wa siku hizi ni hatari usipokua makini utarudi jamvini apa kuomba ushauri tena.
Eeh Mungu Tusaidie 2015 ifike haraka uyu mtu aondoke pale magogoni kwani anatutia aibu anapennda safari zisizokua na tija kwa taifa dhaifu kama hili na kua na rais mpenda starehe kama huyu ni hatari economically,JK Rais wetu mbona unakua kama sikio la kufa.....watanzania wanakuachia laana kuna...
Ndugu yangu chezea mshahara usichezee kazi kiufupi huyo demu hakupendi ata kama mtakaa mtasolve atarudia tu madem watu wa ajabu sana ukiwaendekeza waeza acha kufanya mambo yako ya msingi mwishoe kazini wanakuchoka unafukuzwa afu unakuja kumkosa mwana na maji ya moto.kaka piga chini fastaa chapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.