Pole sana kama ni kweli sasa swali langu ni je kama akitokea mtu serious Huyo uliyenaye utafanyaje naye?
Sent from my TECNO L6 using JamiiForums mobile app
Nashukuru sana ndg ikiwa unachosema ni kweli usijali wanao kupinga/kukutusi kwani watu hawa nilazima wawepo kwani hata leo watz wengi wanakufa,wanalemaa nk kutokana na dawa mbalimbali zinazoingia nchini zikipitia katika mikono ya watu tulio waamini na kuwapa dhamana leo tumekuwa nyani wa...
Inauma sana kuona mambo haya yakitokea leo ktk nchi yangu na naogopa sana na nahisi damu inanikimbia kwani wao husema hawa ukiwapiga shavu la kuume wanakupa na la kushoto lkn ktk kitabu chao hakuna mahali ambapo wapigwa na wasijibu mashambulizi ndio maana hata leo ni Ngumu kuwatoa kwenye nchi...
No brothers Deo is a man of his word and I news he will end up like this,coz unapoanza unakuwa unausoma mchezo na sasa kaka ameshauelewa vizuri na huu ndio msimamo wake.
Kimsingi ctofautiani na wachangiaji waliopita nakusihi jaribu kumsaidia na kamwe usionyeshe kunyanyapaa kiukweli kwa mtu niliepitia wakati mgumu kama huo ninajua jinsi gani anavyokosa amani moyoni mwake bt kama anakunywa pombe mwambie aache.
Pole kaka kwa yaliyokusibu na shukrani kwa tahadhali uliyotoa na kwa nyongeza tu,wanajf msiziamini sana hata zile funguo zao za guest yaani guest yoyote ile kwani nikama huwa wankuwa na copy so ukifunga na kutoka wao wanafungua nakukupekua chochote cha thamani halali yao.
Katika hili hakuna ushuri wala mshauri mzuri wa nini ufnye bt the best one ni MOYO wako upenafasi ya kuamua,usikilize ni nini moyo wako unakuambia ufanye ndilo ufanye na si m2 mwingine yeyote.Kumbuka ninani alikushauri umpende na ninani ktk wachangiaji anaye feel ur pain&will share ur lonelness.
Thanx bro 4 taking a very good of ur marriege ur very few in this planet.Bt plz 4 the sake of ur marriege n much less ur almight God stop that now.Dhambi zote tunazishinda kwamaombi lkn zinaa bibilia inasema iepukeni zinaa n msaafu inasema usiikaribie zinaa so bro run frm it.kama Yusuph mtume wa...
U can fool some ppo some time bt u can fool all the ppo all the times.Sasa vipofu wanaona n viziwi wanasikia so acheni kutishia watu kwa kigezo cha damu kumwagika.Na kwa kufanya hivyo mnatuthibitishi uma wa tz kuwa chama tawala ni wavunjifu wa amani na wamwagaji damu.How come wapinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.