Tupe vigezo vyako mkuu. Huwezi tu kubanmdika bila kutupa vigezo vinginevyo useme according to you. Kama ni umaarufu mbona wapo wengi tu hukuwaandika hapo?
Nadhani ni makosa kuanza kumsemea mtu kuwa ndiye atagombea kwa tiketi ya chama wakati muda mwingi bado. Sana sana mnamexpose kwa attack zaidi kutoka kwa mahasimu. Ni afadhali CHADEMA ikakataa dhana ya mitandao kama iliyopo ndani ya CCM na kuweka msimamo wazi kuwa hakuna mgombea hadi sasa wakati...
Mkono wa Mungu upo juu ya CDM hivyo viongozi wote lazima wawe kitu kimoja na kuwa na maono ya kuwaongoza watanzania kupata maisha bora. Waache kabisa ndoto za urais wajenge chama kwanza ili kiwe taasisi imara na kuhakikisha kinakuwa chama mbadala. Upinzani wenye nguvu ni muhimu kwa maendeleo ya...
Inaelekea Nape unaogopa sana maandamano kwa nini? Na vipi kujivua gamba kumeishia wapi? Achaneni na CHADEMA vueni hao magamba waliobaki muone kama CCM haitakuwa juu zaidi. Mkiendelea kuogopa inakula kwenu.
Hao wananchi hawajui hata gesi inafananaje na wala hawajui utaratibu wake ulivyo. Wanadanganywa tu na wanasiasa. Waambie gesi sio kama maji ya bomba ni lazima isafirishwe ipelekwe kwenye mitambo. Sana sana wanatakiwa wadai manufaa yatokanayo na hiyo gesi yaani mapato. Watoe mapendekezo yao...
Nyie wote mnaolumbana hamfai. Viongozi inabidi mchukuwe hatua kali dhidi yao mbona mnalivuruga lichama lenu halafu msingizie ni CCM? AMA mbona ni aibu saana.
Kwanini CCM iwe na hofu hivyo? Mimi ningewashauri tu kuwa wanahakikisha wanamchagua mgombea mchapa kazi asiye fisadi na kuhakikisha anauzika. Mtu kama Magufuli mbona atachaguliwa tu na kushinda?
Waendelee kuchapa kazi na kutekeleza ahadi zao na kuacha kuwaonea wapinzani waache demokrasia...
Polisi wenyewe wanawaogopa sana waislamu maana huwa hawaogopi kitu. Wako tayari kuwageuzia kibao polisi na kuwanyanganya silaha na kuwalipua. Nani hajipendi? Lakini kwa CHADEMA kwanza wanajua hata wakiwaua wanapata promosheni maana hao ni hatari kwa watawala (kutaka kuchukua nafasi zao mbeleni).
Suala la Elnino au Lanina ni la kidunia na si la kitaifa. Huwa TMA wanacopy na kupaste tu.tembelea link hii uone: Climate Prediction Center: ENSO Diagnostic Discussion. Na pia Hali ya Elnino kwa kuwa inatokea katika eneo kubwa la dunia athari zake zinaweza kuwa kubwa ktk eneo moja na kuwa...
Wajue kuwa Mungu ndiye anayeweka watawala katika nchi. Kama Mungu ameamua kuwa CC,M basi inatosha na sasa chama kingine kichukuwe madaraka, hakuna awezaye kuzuia. Je nani awezaye kuzuia mafuriko kwa mkono? Hakika yatamsomba. Enzi za mwalimu aliyekuwa akiona mbali, alikuwa na uwezo wa kuongoza...
Nadhani ambao wangeombwa radhi ni wananchi walioathirika na mgomo huo. Pia ilitakiwa Sewrikali ndio iombe radhi maana ndiyo mhusika mkuu katika madai ya madaktari ambayo mengi ni madai ya wananchi pia. Hadi sasa hali ya hospitali zetu sio nzuri kabisa ni muhimu kuboresha huduma za afya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.