Nilitegemea kuwa ktk kipindi hiki joto lipo juu huyu jamaa angejiunga kuchangia hoja, kwani sasa ana watu wengi walioelewa hili somo la ''UKOMBOZI'' kuliko ilivyokuwa huko nyuma? Au ndo tuseme huu music wa hakunaga hajui kuucheza?
CDM Arusha tusirudi nyuma, walishatimuliwa kwenye chama, kama wanataka kurudi kwenye chama wanatakiwa waombe upya, hapa ndipo tutapata muda wa kuwasaili na kupata mbivu na mbichi. Kukaa bila madiwani hizo kata ni mbinu ya CCM ili watumie kama mtaji 2015. Tuwe macho na hawa madiwani, inawezekana...
Hakuna haja ya rufaa, rufaa itachukua muda mrefu kama ilivyochukua hii kesi. Turudi kwenye kura, jaji mkuu (Umma wa Arusha) atamua bila kuogopa chama tawala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.