Jamani nimetumbukiza mguu kwenye hii biashara ya Pharmacy. Nimeanza kuonja joto ya jiwe, hasa kwenye upatikanaji wa pharmacists na ushindani wa maduka ya dawa baridi ambayo hayana vibali lakini mengi yanauza dawa aina zote.
Naomba msaada kwa wenye uzoefu, pharmacists, nawapataje na kwa bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.