dr. endelea na utaratibu wako ulio nao katika kulikomboa taifa hili tunakuamini, tunakuheshimu, tunakupongeza, siku zote udhalimu hauwezi kushinda haki tupo pamoja na wewe, waache waendelee kupiga kelele usihangaike nao, wapuuze .
sina shaka na kujiunga kwake na chama cha ukombozi cdm, naamini viongoz wetu wanamfahamu vizur kuliko mimi, pia viongozi wangu wapo makini sana ,nashauri tu uanachama ni haki yake nafasi ya uongozi ndani ya chama, tujiridhishe sana asije kuwa ndio kaagizwa na mchemba, kutengeneza mkanda wa video...
kilakala, kichangani, kiwanja cha ndege, bigwa zote katika manispaa ya morogoro ni giza totoro, wanasherie na wapenda maendeleo tuongozeni tufanyeje, kwa kweli tunachezewa rafu sana na ccm, hakuna katiba ya wananchi itakayopatikani ni katiba ya ccm, tuchukue hatua tafadhali
Naungamkono kikao hicho, Napendekeza pia kuwe na mpango wa kuzungumza na wananchi kila mwanzo wa mwezi kupitia kiongozi wa chadema cc ya chadema sio lazma awe mwenyekiti ktk mambo mbali mbali ya kitaifa garama za hewani tutachangia watanzania
Naunga mkono hoja, nyongeza yangu pia chadema waandae utaratibu wa kuzungumza na watanzania kila mwanzo wa mwezi kuhusu mambo mbali *2 yakitaifa. napendekeza sio lazma iwe ni mwenyekiti bali yeyote atakaekuwa ameteuliwa kutoka nec ya chadema. vipindi hivyo virushwe hewani ktk Tv (S) garama...
Naunga mkono hoja, nyongeza yangu pia chadema waandae utaratibu wa kuzungumza na watanzania kila mwanzo wa mwezi kuhusu mambo mbali *2 yakitaifa. napendekeza sio lazma iwe ni mwenyekiti bali yeyote atakaekuwa ameteuliwa kutoka nec ya chadema. vipindi hivyo virushwe hewani ktk Tv (S) garama...
Hatimae walimu wanyimwa rasmi kushiriki zoez la kuhesabu watu (sensa)kisa etu wameshiriki mgomo. Ubinafsi / upendeleo mkubwa watumika kugawa nafas yabainika fiv ni wengi 75% tena walioshindwa (div iv na div. 0) hapa ni morogoro nawasilisha nipeni ya sehemu nyingine za tz
Hatimae walimu wanyimwa rasmi kushiriki zoez la kuhesabu watu (sensa)kisa etu wameshiriki mgomo. Ubinafsi / upendeleo mkubwa watumika kugawa nafas yabainika fiv ni wengi 75% tena walioshindwa (div iv na div. 0) hapa ni morogoro nawasilisha nipeni ya sehemu nyingine za tz
huyu bwana mdogo anacheza na tanzania na watanzana najua kwa sasa ana ulinz io siku watanzania waamhukumu kwa mema na mabaya aliyoyafanya simwombei mabaya but e need to know watanzania wanamwona asijiponze kwa nafasi ya mzee wa kaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.