Mimi na ndugu zangu tumepatwa na hofu kubwa milio ilisikika karibu kabisa na nyumbani, ila watu niliowasiliana nao wanasema ni wanajeshi wapo mazoezini..
Gagurito, unajua kusoma vizuri au nikusaidie tena uanze vidudu?kwani huoni kama namba 56 na 65 ni same person?mbona unanitukana bila sababu? Nimeli identify kosa hilo ili lirekebishwe tena kwa nia njema..learn to behave man!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.