Kwa wakati ule(1960's) ushirika ulikuwa na nguvu zaidi na watu walitumia ushirika kama daraja lao kupata maslahi yao hali hii ilimtisha Nyerere kisiasa,hapo JKN akaamua kufuta ushirika ili awe free from political stress! Hata hvyo hiyo haimwondolei ubaba wa Taifa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.