Happy Easter najua huko ulipo unaendelea na mvinyo mpe salamu cameroon na ukimwona blair mtaarifu kuwa lile dili la rada mpk leo zile chenji hazijawafikia walengwa na wale babu zetu wa EAC wamejiunga na M4c kwa dhulma na tangu watutawale na wewe wamekufanya mbeba mabox na huku wabongo misaada...
stori yenyewe mliyoileta hapa jamvini ni feki, hivi huko news room ya mtanzania mmeanza kazi ya 2015? bosi wenu kenya kachemsha endeleeni kupika stori, wajinga mtawapata
Ni kazi kubwa kuhangaika na akili kubwa,hivi polisi wamekosa wataalamu wa software engineers kabla hawajachukua hatua? kweli hawa ni usalama wa raia na mali zao? bora tujilinde wenyewe.
Viva Mtwara Viva Lindi Viva Tanzania tulimuondoa mreno Msumbiji na Angola tutamshindwa mkoloni mweusi. Aluta Continua tutajipanga kwa kila hali hata kwa damu kwa ajili ya watoto na wajukuu wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.