Mi nimejifunza kwamba hata wao ccm wanafahamu kuwa mahakama zetu hazitendi haki; inategemea tu Nani anashitaki nini kwa interest ipi. Kwa hiyo kutegemea hukumu kama ya mahanga ni kawaida sana;hata rufaa haiwezi kusaidia. Labda kama rufaa ingekuwa inasikilizwa kimataifa hapo ndo ungeona haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.