Mshindi wa mashindano ya wiki 2 tu kalamba 100M, huko kasikazini mshindi wa mashindano ya Mwaka mzima analala na 20M wachezaji wanagawiwa laki mbili mbili alafu bado tunabishania GDP? 😂😂😂
My brazee si tunaona hapo hata website ya matokeo ni breaking news? Na anasisitiza itakuwa free of charge, kumbe to date mlikuwa mnabandika kwa ukuta na mnalipia kuona, ama ni nini?😂😂
Vipi mshaweka stima ya kununua online na kulipia au bado mnapokea bills za makaratasi toka kwa KPLC? 😹😹
Ooh thithi ndio vinara kwenye ICT nyenyenye………😹😹
Yaani vitu tumesahau Bongo kumbe huko ni breaking news? Eti hadi LUKU nayo ni maajabu pande za Kiberaland? 😅😅
Leo nilikuwa nafanya applications za licenses kadhaa kwa biz yangu, yaani chap Brela kufanya annual returns dk 0 tayari, kuja kwenye...
Hii site, club bilicans na pale kona ya kuingia station zimekaa wazi for ages now, wazijenge sasa otherwise walivunja existing buildings kwa sababu gani sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.