Hapo ndipo linapokuja swala gumu la hawa dada zetu
Embu someni huu ukweli
Kuku anataga mayai anayalalia mpka anatotoa
Kuku atatembea na vifaranga vyake kwenye shida na raha popote pale
Kuku alimi avuni wala afanyi kazi lakini kuku huyu atawaangalia vifanga vyake mpaka vinakuwa
Hapo jogoo alina...
Kumbuka ulipokuwa chekechea ulifundishwa kuhesabu kama ni visoda, vijiti, mawe au vitu vingine
Nimekumbuka enzi tulipokuwa wadogo na hesabu za njiti za kibili na chelewa hakika naungana nawe kwa mada nzuri yenye kuelemisha kazi kwao wahusika na wazazi na walezi wa watoto wetu
Hakuna marefu yasiokuwa na mwisho
Kama tumezaa namchukulia kama mzazi mwenzangu(Heshima mbele)
Kama hatuku zaa yuko kila mtu na lake tukikutana uso kwa uso salam kama kuna stor baada ya hapo kila mtu kivyake
Mkuu kwenye yale magereza sio wote ni wakosefu wengine wamejikuta wako kwenye ile dhahama kwa kusingiziwa aua kukosa kujieleza ama unyonge na kukosa wa kuwatetea kwenye makosa ya kibinadamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.