Labda kwa kuwa hujaelewa au kuona "the bigger picture" : Mpango WA Mungu; omnipotence ya Mungu, uungu (not sure if this is actually a word...) WA Mungu. In this context, why shetani yupo is understandable, out of that context ni ngumu and hence possibly the "confusion" you cite
Shetani aliumbwa mzuri and mkamilifu and with utashi WA kuamua, sio robot.
Akaamua kuasi, akatimuliwa mbinguni (not sure where that is). Ndipo "mashetani " talipoanzia...
Interesting thought.
Nope. Hafanyi yanayompendeza Mungu or aliyotumwa na Mungu therefore sio mtumishi wake.
Ila, katika hali yake ya "ushetani " Mungu anamtumia ili kukamilisha mpango wake juu yetu, mpango uliokuwepo toka mwanzo, kabla ya shetani
CHAMITON,
Maswali mazuri sana.
Tujadili swali kwa swali.
La kwanza:
Job 47:16, Psalm 239:2-4, 147:5, Proverbs 5:21, Isaiah 46:9-10, 1 John 3:19-20, etc zina support kuwa Mungu anajua KILA KITU; kilichokuwa, kilichopo and kitakachokuwa. So ni kweli kabisa, ALIJUA kuwa njemba itaasi and kuleta...
Nyegezi Seminary:
Rector = Father Mugonya
Bursar = Father
Father Kagger
Father Van show (tulitamka hivyo not sure kama linaandikwa hivyo)
Father Bilingi - I still think he was a "radical", in a good way, priest
Great basketball team: Mafuru
Great football team : sassy sarungi, Godfrey ndaba...
Asante kwa ushauri juu ya kupima figo kwanza.
Nipo tayari kwenye regimen ya Atripla. Nilikuwa diagnosed wakat nipo shuleni mwaka juzi na nikaanzishwa Atripla Wakati nipo huko ughaibuni. Sasa nimerudi nyumbani baada ya shule and najiuliza kama nitaweza kuendelea kupata Atripla from CTC hapa...
Nimesoma post ya kwenye blog ya Michuzi yenye title hapo juu. (Ninatumia RSS reader kupata posts kutoka blogs mbali mbali nazofuatilia)
Sasa nilivyotaka kwenda kwenye site yake (http://issamichuzi.blogspot.com/2011/04/majonzi-ya-watanzania-waishio-saudi.html) nione comments za watu na...
Mie nadhani ungesema unachotaka kusema.
Hivyo unavyo-communicate UNAKERA maana hamna kitu concrete unachosema.
Unadhihaki tu watu.
Discuss issues mkubwa!
Nyau
Jamani!
Hii ni Dhambi ya jinai kabisa!
Huu ni usanii. Watu wanapata pesa at the expense ya wagonjwa wa UKIMWI.
Nimeangalia vyanzo vya taarifa za kitafiti juu ya UKIMWI na sijaona chochote juu ya Baariz.
Taarifa za clinical trials zinazotambulika na kufanyika kwa viwango vinavyotakiwa huwa...
Hapa ofisini kwangu menejimenti imeajiri afisa utawala (senior administrator) mkenya. Huyu bwana kaanza kazi jana.
Hili jambo limenikera sana kwa maana ninajua kuwa kuna watanzania wa kutosha wenye sifa (kielimu na kiutendaji) ambao wangeweza kujaza nafasi hiyo.
Wakati tangazo la nafasi...
Pia kuna hiki kipindi cha "Chereko". Mimi binafsi nimeshindwa kabisa kuelewa maana ya hiki kipindi. Kuwatangazia the select few harusi zao jinsi zilivyokuwa? Ili iwe nini?
Mwanzoni nilidhani atakuwa anatuonyesha au kutuelezea vitu vilivyotofauti (unique) kwenye hizo harusi anazoonyesha ili...
Yawezekana kuwa hizi ni blah blah za mtu aliyetaka kuwapa watanzania cha kujadili na kusahau masuala ya msingi zaidi?
Tafadhali angalia hata Mheshimiwa Tendwa mwenyewe kasema Ni Hoax tu:
I had a similar experience, thrice, since I moved to Mwanza early last year. That made me stop going to the place. it might be that I am self conscious OR the staff really "ignore waswahili wenzao"
The strange thing is that the behaviour is almost the same at another Mwanza joint - Tilapia...
Sio majungu. Ni kweli, ndege huahirishwa pale kunapokuwa na tatizo - kwa ajili ya usalama wa abiria.
Lakini unaelezaje pale unaporipoti kwa ajili ya safari na kuambiwa ndege imeshaondoka? Binafsi hii imenitokea mara mbili kwa Precision Air. Reporting time ni saa 12 na nusu asubuhi...
Asome relevant application software kama vile
1. Spreadhseets - itampa uwezo wa ku-play around na numbers efficiently. Hii ni application software class moja ambayo kwa experience yangu ni indispensable kwa mhasibu.
Hapa sikusidii spreadsheets at "introduction" level bali at power user...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.