Lazima dkt aitunze kadi ya ccm iwe kumbukumbu kwa vizazi vijavyo, kwa sababu ni lazima ijulikane safari ya ukombozi ilianzaje,na ukombozi umepatikanaje? na kwamba dkt ni mwanasiasa wa siku nyingi na hakuanzia chadema, safari yake imekuwa ndefu yote hii ni kuhangaikia ukombozi wa nchi hii. ila...
Mkuu, ktk hili niko pamoja nawe. Ni kweli kabisa kwamba wengine wanataka urais wakati hawana sifa za kuwa rais kutokana rekodi zao mbaya kama vile ufisadi na kutokemea maovu kadhaa yalifanyika wakati hao wakiwa viongozi.:target:
Kwa kweli tulimlilia na kusikitika sana sana kwa yaliyomsibu Mtanzania mwezetu Dr Ulimboka. Tulitarajia kusikia mengi mara baada ya kupona na kurudi nyumbani. Lakini hadi hii leo bado yuko kimya. kwa kweli Dr umetukatisha tamaa sana sana.
Huu ni upumbavu.
Mtu wa aina hii ni hatari kwani anaweza hata kumtosa hata mkewe kwa boss wake endapo ataahidiwa kupandishwa cheo. This is nosense. :yawn:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.