Nape na wenzake wanajua yote hayo ILA Upeo wao wa kuyashughulikia na serikali yao ndo umefikia hapo.
Kama unategemea mengine utasubiri saana tu.
JAMANI yale yanayohitaji rasilimali fedha, serikali haina.
Mfumo wa bei kwa mfano kuutatua to some extent unahitaji subsidy kwa...
It was relevant to that particular time but not now! CCM can continue to use that statement as propaganda to wananchi who are not open minded! The statement doesn't hold water at all at this juncture.
Si walisema maandamano siyo sera ya chama chao? Lakini kumbe wanajua inalipa kutumia nguvu ya Umma? Anyway si vibaya kukopi vitu vizuri kutoka kwa wengine! Angalia wasije kukudharirisha kama wakati ule!
Jamani huu ndio mpango wa CCM kwa sasa! Wanakodi wahuni kuwapiga wanaowapinga kwa hoja ili kuzuia wimbi la mabadiliko, Makamanda muwe macho saana. Nasema hivi kwa sababu ninawajua vizuri.
Ni wakati muafaka saana kwa CHADEMA kujijengwa wakti huu, CCM ikiwa imesambaratika kifikra, kwani hawapo pamoja. Ktk strategic magt, unaangalia weakness za mpinzani wako na capiltalize nazo, Hivyo CHADEMA capiltalize ktk CCM kutoelewana na makundi yao, hata ikibidi penyezeeni watu huko kufuel...
Makamanda kazini, lakini vilevile wahahakikishe wanapata viongozi wazuri wa kuendeleza vuguvugu baada ya wao kuondoka. Maana CCM watapita kufuta mawazo yao. Viongozi ktk sehemu hizo ni muhimu saana na wapatikane watu wazuri, wenye mvuto kwenye jamii husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.