Search results

  1. B

    Ahsanteni sana Marando, Prof. Safari kwa kutuonyesha undani wa Chadema

    hahahaha! magamba bwana ni taabu tupu. kampelekee mkeo asome hyo makala yako. hope is slip of tongue.
  2. B

    Hivi profession ya Nape ni nini?!

    Nape! honestly binafs mwanzo nilikuheshim sana kwa hoja na changamoto ulizokuwa unatoa kwa faida yako na taifa kwa ujumla ila kwa sasa umebadilika sana umekuwa mtu wa matus kejel kwenye masuala ya msing sijui reasons behind, ila ndan ya ccm ww ndo mtu makin uliyebakia hvyo bas nakusih...
  3. B

    Serikali yaomba madaktari nje ya nchi, BILIONI 200 ZATENGWA KUWALIPA

    hahahaha! ccm oyeeeeeeeeeeeee! This is the cardinal sign of failure. yan wamekaa mawazir wake had mwakyembe na makamba wakiwemo na kuadhimia hv!!!!!!!!!!!!!! vry fantastic, anyway yetu macho baana.
  4. B

    Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

    gambaaaa!!!!!!! ila mwka huu kitaeleka tu, mambo yote hadharan cjui mtajificha wap!!!!!!!! mungu amjalie apone. na sio wote tulio hapa ikuru tunafurahishwa na hv vitendo vya kinyama.
  5. B

    Ujumbe huu umufikie mwenyekiti wa kambi ya upinzani Mh MBOWE

    wazo zuri sana kamanda ila kama unavyofaham tena hk chama mufiris ccm kitashikia bango na kukichafua chadema, mi nafikir huu ndo mda mwafaka kwa wanahakat kuonesha mchango ktk.
  6. B

    Ndugai: Mbunge wa CCM hatakiwi kupingana na serikali yake bali aishauri tuuu

    unajua zaman niliamin kuwa wisdom is the product of schooling kumbe sivyo kabisa. Mwigulu kama classmet wang nackitika kumkana na kumdharau had sku naingia ktk nyumba yang ya milele, anafkr anajua anachokifanya kumbe ovyo kabisa ila kila jambo linamwsho wake. Psychologically tatizo lake linaitwa...
  7. B

    Jamani hizi ni akili au matope!

    Hv jaman mbona tunaizalilisha sana jf kias hk? sasa hebu check mtazamo wa huyu jamaa hapo juu me nafkir hawa wanapaswa waende facebook huko ndo kunawafaa. mtu katuletea taarifa tena yenye uchunguz halaf anamdiscourage huu ni upuuz usioweza kuvumilika, this z hme of great thinkers na sio hzo brabra.
  8. B

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    nimeipenda hyo binafs had leo sizijui hzo faida, ila nashangazwa na wenzang wanaposema zipo nyng bila walau kutaja japo moja tu!!!!!
  9. B

    Huu ni uhaini na uchochezi wa CHADEMA

    we ndo walewale ckushangai kutoa nukuu za kijinga kama hz.
  10. B

    Rai ya Jenerali: Waziri mkuu asiye waziri mkuu, serikali iliyobinafsishwa - hatuendi kokote

    jeneral hakika utakumbukwa na jamii ya watanzania wote vizaz na vizaz vijavyo kwa nasaha zako za waz na zilizojaa hekima, busara na maonyo meng. nakuheshim sana mzee wetu.
Back
Top Bottom