Wapo kwenye OPERESHENI MAALUM ya kuiongezea chadema wafuasi kwa kusaidia wananchi kuichukia policcmn ccm kwa ujumla. Wanawaudhi hata wale wachache waliobaki ccm. Ndugu zangu wawili waliokuwa ving'ang'anizi kwa ccm ndugu zao wamekamatwa na wao wamebadilisha msimamo ghafla nashangaa wanatukana...
Kuwa wazi basi unataka nini zaidi,yaani unachomic unapokuwa mwenyewe kama ni penzi ni jue,maana hayo mengine yatafuata tuu taratibu na unihakikishie usalama maana umri wangu umesonga. Nilivypo invest usijeukaninyang'anya. Halafu wewe mdogo sana sijui kama utaridhika na penzi la uzee huu,usije...
Akimganda Paw wako unabudi kuwa mpole kuliko apoteze maisha maana kifaa hicho hakiishi jamanii..Kinabaki vile vile..wote mtekitumia tuu,cha muhimu hapo ni kupeana zamu.
Kwanza unabahati ukizubaa Town mademu wanakutongoza fasta, Angalia usisimame simame ovyo bila kazi maalumu maeneo ya Bar na Guest houses, au kule Oiho street. Hawachelewe kukubaka.Nafuu urudi zako village Town tunapaweza sisi,hatutongozi sikuhizi tunachagua tuu.
Mmmh hata mimi ninahistoria ya jamaa yangu mmoja alipizi hivyo kwenhe paper ya hesabu form four,lakin hajaniambia kama alisikia raha zaidi ya kugegedana...alichoniambia ni kuwa alihisi atafeli hesabu..Basi inaonyesha huyo jamaa yako ni mwasherati kiac..lakin sio sana au basi ndio anaanza. Kwa...
Natamani nione unavyojikunaaaa!!Hadi unafunga macho kwa utamuu na miguno juuMbegu za kiume ukipaka hapo muwasho utaisha. Na hakikisha ni mwanaume wa shoka,sio anayelalia ngono kila siku zake ni nyepesi!!
Haya bhana,take five..Ipo kama Mamndenyi unajuaga kumechisha sana...njikundi kutukuya chandu urea necha mleu!!Lakin inyi mmasai!! Haika mnuu mana o kikaa.
Si naona hata picha yako ya ID upo kwenye black suti..sio mbaya lakin inasehemu chache,inatakiwa kunakuwepo na kanguo kengine cha rangi ingine angalao hata kwa ndani kaonekane kifuani. au popote,na pia mtu mwenyewe awe mweupe kiasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.