Wanabodi,
Katika pitapita zangu nimekutana na orodha ya watu waliowahi kutunikiwa udaktari wa heshima (Honorary Degrees) na UDSM, but jina la mkuu JK halipo.
Tukumbushane, anapoitwa Dr huwa reference ni PhD ipi? au kuna chuo kingine kiliwahikumpa huo udaktari wa heshima?
University of Dar es...
Mkuu rutashobya update ya mwisho nimeiona mda mrefu sasa; Kwani kesi imesimama?
------
Kimomogoro:
Jukumu ni la jaji aliyetoa uamuzi kuhakikisha kuwa decree imetengenezwa. Tumetoa pia kesi ya mausi vs Arusha general store. Mahakama ilitoa mwongozo kuhusu aina ya kanuni, moja ni mandatory na...
Huyu jamaa alikuwaga MD wa Barclays. So anakwenda kuchukua nafasi iliyokuwa imeachwa na Bw Luoga. Labda ndio maandalizi ili Kitillya akistaafu yeye ndo achukue hiyo post.
Sina CV yake kwa kirefu zaidi, mwenye nayo atumwagie hapa tuichambue jamani!
Nimeipenda sana hii, ni ukweli mtupu! Yabidi kubadili mfumo na sera... kutengeneza mazingira ya nchi kujitegemea kuliko kuendelea kuwa tegemezi. Serikali tulio nayo imethibitisha kushindwa katika hili, tunahitaji mbada!
Nilisikitika sana nilipokuwa mpakani mwa Tanzania na nchi jirani iliyopo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.