Mbowe ameonyesha maana halisi ya kuwa mwenyekiti wa chama.Siyo kukaa tu ofisini halafu utegemee mafanikio.Lazima kushiriki michakato yote.Big up my brother.
Wananchi wakiamua hakuna kitakachowashinda.Huu ni wakati muafaka wa kuonyesha jinsi nguvu ya umma inavyoweza kuleta mabadiliko.Nguvu ya hela haina nafasi tena.Arumeru mashariki wameonyesha njia.Namwomba Mungu aniwezeshe kushiriki uchaguzi wa 2015.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.