Inaelekea mieta uzi huu ni mbaguzi fulani hivi, na ubaguzi siyo sera ya ccm. Yeye anatoa wapi sera hiyo? Aache ubaguzi afanye siasa. Hiyo Iramba magharibi ni ngome ya ccm miaka yote iliyopita, je mbona bado ipo masikini hadi leo? Kwa hiyo cdm kupata asilmia 28 ndani ya ngome ya ccm ni jambo la...
Ni jambo zuri,litawafanya wachina wajipange upya ili watengeneze simu bora. Kwano mchina ni mkombozi anatengeneza simu hadi line nne. Badala ya kununua simu nne unanunua moja tu. Hivo sisi walalahoi tunaona simu za mchina ni kama mkombozi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.