Kwani kuwa single mother ni kilema. kuna wanaotafuta usingle mother na wako ndani ya ndoa wanaukosa. mtt ni heshima haijalishi kapatikana maeneo yap. kubali kataa shauri yako.
Habari. Total Company Contribution ni pesa ambayo kampuni inachangia kwenye mapato yako. nadhani hapo ni 10%
Anayokuchangia PPF na SDL kutoka kwenye mshahara wako.
Total Deduction ni sum ya PAYE na PPF unayokatwa kwenye mshahara wako.
Kama nimekosea nadhani kuna wennye uelewa zaidi watadadavua
Muogope Mungu ndugu yangu. Unanifahamu mimi? unauhakika na unayoyasema? kama kweli unanifahamu hebu uambie uma mi ni mtu wa aina gani na napatikana wapi na jamaa nilozaa naye ni nani? kabla ya kuropoka uwe na uhakika na maneno yako.
Kupima nini sasa. wewe kama una stress za kukosa chuo;);), pita hivi. na kama una wasiwasi na afya yako mi sina. Ambao watakuwa na uhitaji kama mimi watanifuata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.