ndio!! nimewasikia Clouds, walikuwa wakiingolea ushindi wa chadema kwa unyonge sana, mpaka nimeshindwa kuelewa; hivi vijana wadogo, jerard, PJ na B ni watu wakushabikia CCM kiasi hicho?. Nini kinachowaunganisha na CCM??. naomba data wadaiu.. haijaniingia akilini hata ki9dogo................!!!!!!!!
Naamini! na mimi ni mfuatiaji wa siasa za kimataifa na za ndani, hakuna kiongozi yoyote duniani mwenye mamlaka ya kibunge, ambaye anaweza kusimama mbele ya hadhala akatamka maneneo ya aibu kama alivofanya Lusinde, amepotoka, amejidhalilisha, amelidhalilisha taifa, ameidhalilisha familia yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.