Search results

  1. K

    Radio Clouds hawajaufurahia ushindi wa CHADEMA?

    ndio!! nimewasikia Clouds, walikuwa wakiingolea ushindi wa chadema kwa unyonge sana, mpaka nimeshindwa kuelewa; hivi vijana wadogo, jerard, PJ na B ni watu wakushabikia CCM kiasi hicho?. Nini kinachowaunganisha na CCM??. naomba data wadaiu.. haijaniingia akilini hata ki9dogo................!!!!!!!!
  2. K

    Lusinde na kampeni za matusi umeambulia aibu kubwa

    wahuni kama Lusinde hta mwalimu Nyerere aliwakataa, alisema waende wakafanye uhuni mitaani na si kupew uongozi
  3. K

    Tukisema CCM wanambinu za kuiba,tunaonekana JF waongo,Soma hii

    hii nimeipenda!!!!!, CCM ni mafisadi hadi kwenye Kura. umakini huu wa mawakara uwe endelevu. peeeeeeeeeeplz.....................P0wwwwwwwwwwwwwwwwwer.
  4. K

    Lusinde na kampeni za matusi umeambulia aibu kubwa

    Naamini! na mimi ni mfuatiaji wa siasa za kimataifa na za ndani, hakuna kiongozi yoyote duniani mwenye mamlaka ya kibunge, ambaye anaweza kusimama mbele ya hadhala akatamka maneneo ya aibu kama alivofanya Lusinde, amepotoka, amejidhalilisha, amelidhalilisha taifa, ameidhalilisha familia yake...
  5. K

    Hotuba ya MB-Nassari (CHADEMA) baada ya kutangazwa imeliza wengi

    Pongzi ka CDM, Pongezi kwa Nassali, Pongezi kwa wanamapinduzi wote wa Arumeru.
Back
Top Bottom